Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNARINGIA UZURI NA SHEPU YAKO, VIPI HII LA FARAGHA?

Ulimwengu wa sasa umejaa wanawake wazuri sana, kila unayemuangalia unaona kuna vitu f’lani Mungu kamjaalia. Unaweza kukutana na msichana ambaye hana shepu kabisa lakini sura yake peke yake inamfanya awe tishio kwa wanaume. Wapo pia wanawake ambao hawana sura ya mvuto lakini Mungu kawajaalia kuwa na maumbile tata yanayowatoa udenda wanaume wengi.
Kimsingi kila mwanamke ni mzuri. Unaweza kukutana na msichana ukaona hana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UZURI NA SHEPU UNAYO, FARAGHA JE?

Ulimwengu wa sasa umejaa wanawake wazuri sana, kila unayemuangalia unaona kuna vitu f’lani Mungu kamjaalia. Unaweza kukutana na msichana ambaye hana shepu kabisa lakini sura yake peke yake inamfanya awe tishio kwa wanaume.

Wapo pia wanawake ambao hawana sura ya mvuto lakini Mungu kawajaalia kuwa na maumbile tata yanayowatoa udenda wanaume wengi.
Kimsingi kila mwanamke ni mzuri.

Unaweza kukutana na msichana ukaona hana sifa za kuwa wako lakini kwa mwingine ikawa tofauti.
Ndiyo maana hakuna...

 

9 years ago

GPL

SHOGA: SHEPU YAKO NZURI, BASI MRIDHISHE MUMEO!

Shoga yangu, bila shaka kila mmoja wenu anajiandaa kupiga kura Jumapili ijayo kwa lengo la kumchagua kiongozi aliyemkuna kwa sera zake nzuri wakati wa kampeni. Kikubwa ambacho nakuasa ni kuwa makini katika siku chache zilizobakia kabla ya zoezi hilo asije akatokea mtu na kukudanganya kwa fedha umpe kadi yako ya kupigia kura, utakuwa umefanya kosa kubwa! Baada ya kukumbusha ishu hiyo muhimu, sasa narejea kwenye mada...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unaathiriki vipi simu yako ikiisha nguvu

Matumizi ya simu aina ya smartphones zilizo na programmu nyingi husababisha nguvu za betri kupungua kwa kiwango kikubwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako:Vipi ndege imetoweka isijulikane iliko?

Katika Dira ya Dunia Redio, tunatathmini tukio la Ndege ya Malysia kutoweka na tunauliza ni vipi ndege kubwa itoweke katika enzi hii ya teknolojia ya kisasa?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je masharti mapya ya mechi yako vipi uwanjani ?

Ligi ya kandanda nchini Ujerumani iliendelea siku ya Jumamaosi na kutoa ishara za jinsi ligi ya Premia na ligi nyengine kuu zitakavyochezwa wakati zitakaporejea.

 

5 years ago

CCM Blog

JE MASHARTI MAPYA YA MECHI YAKO VIPI UWANJANI WAKATI HUU WA CORONA?

Borussia Dortmund iliwafunga wapinzani wao Schalke 4-0 huku wachezaji wakisherehekea magoli hayo kwa kugongana visukusukuHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionBorussia Dortmund iliwafunga wapinzani wao Schalke 4-0 huku wachezaji wakisherehekea magoli hayo kwa kugongana visukusukuFeatured hyper: min. 10 pieces inc. 2 videosLigi ya kandanda nchini Ujerumani iliendelea siku ya Jumamaosi na kutoa ishara za jinsi ligi ya Premia na ligi nyengine kuu zitakavyochezwa wakati zitakaporejea.Ligi ya taifa la Korea Kusini ilianza wikendi iliopita , huku ligi ndogo ndogo kama ile ya Belarus na Nicaragua zikiendelea...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

MillardAyo

Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video)

Tunasema asante kwa teknolojia kila siku kwa sababu ya vitu vizuri ambavyo tunakutana navyo vikikufikia na kurahisisha mambo mengi kwa sababu tu wataalam wamekaa na wamebuni kitu kizuri !! Unaambiwa ni suala la kukaa tayari wakati wowote kuanzia sasa tutakuwa na simu zenye uwezo wa kufanya scanning chakula na kutoa majibu kwamba kwenye chakula kuna […]

The post Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani