Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video)

Tunasema asante kwa teknolojia kila siku kwa sababu ya vitu vizuri ambavyo tunakutana navyo vikikufikia na kurahisisha mambo mengi kwa sababu tu wataalam wamekaa na wamebuni kitu kizuri !! Unaambiwa ni suala la kukaa tayari wakati wowote kuanzia sasa tutakuwa na simu zenye uwezo wa kufanya scanning chakula na kutoa majibu kwamba kwenye chakula kuna […]

The post Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Unaathiriki vipi simu yako ikiisha nguvu

Matumizi ya simu aina ya smartphones zilizo na programmu nyingi husababisha nguvu za betri kupungua kwa kiwango kikubwa

 

10 years ago

Dewji Blog

Sasa ni rahisi zaidi kutazama account yako na Tenbre App

Sasa unaweza kucheki bill ya account yako mpaka miezi sita kwa app ya tenbre. Unaweza kuona historia ya account yako, makato au marejesho ya kiasi cha pesa pia yataonekana.

Anza kwa kuchagua “smart card”. Hii itakuonyesha orodha ya vitu mbali mbali.

Untitled 1

Chini ya orodha hii, utaona “Account Bill”, chagua hiyo ili kuangalia bill yako.

Untitled 2

Unaweza kuchagua mwezi unaotaka kuangalia:

Untitled 3

Download Tenbre kwa kutembelea Play Store kwenye simu yako ya Android au bofya hapa

Kama una swali au ungependa kujua...

 

11 years ago

Michuzi

5 years ago

BBCSwahili

Je unatumia viungo vya chakula kwa namna inayofaa kwa manufaa ya afya yako?

Viungo kwenye chakula vimekuwa vikitumiwa kwa miaka mingi sana. Binzari' Turmeric' na pilipili zimefanyiwa utafiti katika miongo ya hivi karibuni... Lakini je huwa tunatumia viungo hivyo ipasavyo kwa ajili ya afya zetu au la?

 

10 years ago

Michuzi

Zoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to send"inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?

Waandishi Daniel Sifuna na Nobuhide Sawamura katika kitabu chao: ‘Challenges of Quality Education in Sub-Saharan African Countries,’ wanasema kuwa wasomi na wataalamu wa elimu duniani wanatofautiana katika kuelezea maana ya elimu bora au ubora wa elimu.

 

11 years ago

GPL

NI RAHISI SANA KUIMARISHA NDOA YAKO!

ILI uwe na ndoa yenye furaha ni lazima utenge muda wa kutafakari namna ya kuiboresha na
kutafuta furaha ya ndoa hiyo. Ndugu zangu, kila kitu kinatengenezwa. Waswahili wanasema, ukiona vyaelea, ujue vimeundwa. Huwezi kuacha mambo yakajiendesha hovyo ukategemea kuwa na ndoa bora. Uhusiano imara unakutegemea wewe.
Kila mmoja ana wajibu wa kuangalia furaha ya mwenzake. Yapo mambo mengi muhimu ambayo kama
wanandoa wakiyafanya...

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA‏

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani