Zoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida
Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to send"inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI,LATUA SINGIDA
10 years ago
GPLZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini
Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Madereva wawili mabasi ya masafa wanaswa kwa ulevi
MADEREVA wawili wa mabasi ya masafa marefu wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Singida baada ya kugundulika kutumia pombe wakati wakiwa kazini.
11 years ago
Michuzi
News Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii


10 years ago
Habarileo24 Dec
Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
9 years ago
Michuzi
9 years ago
Habarileo15 Dec
Madereva kuelimishwa athari za ulevi
JESHI la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mwanza limejipanga kushirikiana na wadau wengine kuelimisha madereva umuhimu wa kuepuka kuendesha magari wakiwa wamelewa. Hatua hiyo inalenga kuepusha ajali katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwishoni mwa mwaka za Krismasi na Mwaka mpya.
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika

Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...