News Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-vglv73C3_Hw/U66-hPcSJdI/AAAAAAAFtV4/Wq07oXn9Sww/s72-c/IMG-20140628-WA0008.jpg)
Madereva wa Mabasi yanayokwenda katika mikoa ya Shinyanga, Mwanza na Kagera jioni hii wameingia kwenye mgomo wa kutosafirisha abiria wakiwa mkoani Singida, kwa madai kwamba wanatozwa faini kubwa sana na Askari wa Usalama barabarani mkoani hapo.Baadhi ya abiria wanaosafiri na mabasi hayo wameulalamikia uamuzi wa madereva hao, kwani ni kama wanapewa adabu kwa uamuzi huo.Globu ya jamii inaendelea kufatilia sakata hilo kwa ukaribu zaidi na tutaendelea kufahamishana zaidi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pd7duy7lwq8/UyCe5JPuPSI/AAAAAAAFTNU/JltlLUnuyyw/s72-c/IMG-20140312-WA0001.jpg)
NEWS ALERT: KIVUKO CHA MV. MAGOGONI CHAPATA KWIKWI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-pd7duy7lwq8/UyCe5JPuPSI/AAAAAAAFTNU/JltlLUnuyyw/s1600/IMG-20140312-WA0001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dly6xj4jrQY/UyCe9Ji9_YI/AAAAAAAFTNc/6LhHNu1ctUg/s1600/IMG-20140312-WA0002.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Feb
News alert: mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani singida leo
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini
Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...
10 years ago
MichuziZoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida
10 years ago
GPLZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA
10 years ago
GPLZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI,LATUA SINGIDA
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Madereva wa mabasi ya abiria kugoma tena wiki hii
Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho ikiwa ni hatua ya kupinga nauli mpya za mabasi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s640/20150707111148.jpg)
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
11 years ago
Michuzi23 Apr
NEWS ALERT: ZAIDI ya abiria 40 Wajeruhiwa ajalini mkoano Kilimanjaro jioni ya leo
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,inaeleza kwamba ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10 jioni jirani kabisa na kituo cha mafuta kilichopo kando ya barabara ya Moshi-Arusha wakati magari hayo yakijiandaa...