NEWS ALERT: KIVUKO CHA MV. MAGOGONI CHAPATA KWIKWI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-pd7duy7lwq8/UyCe5JPuPSI/AAAAAAAFTNU/JltlLUnuyyw/s72-c/IMG-20140312-WA0001.jpg)
Taarifa ya Uhakika iliyotufikia hivi punde ndani ya Ofisi za Globu ya Jamii,inaeleza kuwa Kivuko cha Mv. Magogoni kinachovusha watu na mali zao kutoka Magogoni - Kigamboni jijini Dar es Salaam,kimepatwa na kwikwi jioni hii baada ya kukatika kwa sehemu ya mkono unaoshika mlango wa upande mmoja wa kuvushia magari na waenda kwa miguu.Utaratibu wa kutengeneza Kivuko hicho unafanywa hivi sasa na Mafundi wa Kivuko huku Abiria wakiwa wamesimama pembeni kusubiria utaratibu mwingine.
Sehemu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vglv73C3_Hw/U66-hPcSJdI/AAAAAAAFtV4/Wq07oXn9Sww/s72-c/IMG-20140628-WA0008.jpg)
News Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-vglv73C3_Hw/U66-hPcSJdI/AAAAAAAFtV4/Wq07oXn9Sww/s1600/IMG-20140628-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-no4z0l-ipck/U66-u7qDoKI/AAAAAAAFtWA/cswDH_FU6YI/s1600/IMG-20140628-WA0009.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wizara: Kivuko cha Mv Magogoni ni salama
WIZARA ya Ujenzi imesisitiza kuwa kivuko cha Mv Magogoni jijini Dar es Salaam ni salama kwa kuvusha abiria na magari, kati ya upande wa Magogoni na Kigamboni.
10 years ago
Habarileo24 Jan
Kivuko cha Mv Magogoni chaogopesha abiria
BAADHI ya wakazi wa Kigamboni wanaotumia kivuko cha Mv Magogoni wameiomba serikali kukifanyia marekebisho kivuko hicho ambacho kimekuwa kikipata hitilafu mara kwa mara na kutishia maisha ya abiria wake.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kivuko cha Mv Magogoni shwari, yasema Serikali
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
News Alert : MV.Magogoni yapata hitilafu ya kiufundi
Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
Wananchi wakiwa katika mshangao.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TtzphOW4VFE/U-73WEFvswI/AAAAAAAF_-4/0eM5uKKbZiQ/s72-c/5c613b59a6c16d60985faae9e412a6e2.jpg)
news alert: Moto wateketeza kituo cha kupozea umeme cha mjini Moshi asubuhi hii
11 years ago
Michuzi23 Apr
NEWS ALERT: ZAIDI ya abiria 40 Wajeruhiwa ajalini mkoano Kilimanjaro jioni ya leo
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,inaeleza kwamba ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10 jioni jirani kabisa na kituo cha mafuta kilichopo kando ya barabara ya Moshi-Arusha wakati magari hayo yakijiandaa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s640/20150707111148.jpg)
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
10 years ago
Michuzi20 Aug