Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


News Alert : MV.Magogoni yapata hitilafu ya kiufundi

Wananchi wakipigana vikumbo wakati walipokuwa wakishuka katika MV. Kigamboni na huku wengine wakiingia kwa kuhofia kubaki baada kwa wingi wa watu.  Wakishuka wananchi.

Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.

  Wananchi wakiwa katika mshangao.

2 (3)

Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.

Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.

  MV. Kigamboni...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KIVUKO CHA MV. MAGOGONI CHAPATA KWIKWI JIONI HII

 Taarifa ya Uhakika iliyotufikia hivi punde ndani ya Ofisi za Globu ya Jamii,inaeleza kuwa Kivuko cha Mv. Magogoni kinachovusha watu na mali zao kutoka Magogoni - Kigamboni jijini Dar es Salaam,kimepatwa na kwikwi jioni hii baada ya kukatika kwa sehemu ya mkono unaoshika mlango wa upande mmoja wa kuvushia magari na waenda kwa miguu.Utaratibu wa kutengeneza Kivuko hicho unafanywa hivi sasa na Mafundi wa Kivuko huku Abiria wakiwa wamesimama pembeni kusubiria utaratibu mwingine. Sehemu ya...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO

Ndegevita moja ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiteketea kwa moto huku jitihada za kuuzima zikiendelea katika ajali iliyotokea leo Februari 27, 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa MwanzaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa ya ajali ya Ndegevita moja (1) iliyotokea leo tarehe 27 Februari 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mwanza.
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita,  Wakati rubani wa ndegevita...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndege ya Clinton yapata hitilafu angani

Dar/Dom. Ndege iliyokuwa imembeba rais mstaafu wa Marekani, Bill Clinton na mwanaye Chelsea, juzi ilipata hitilafu katika moja ya injini zake na kulazimika kutua Dodoma kwa ajili ya matengenezo kabla ya kuendelea na safari.

 

10 years ago

Mwananchi

Chopa ya Lusinde yapata hitilafu, aapa kutoipanda

Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtera (CCM), Livingstone Lusinde ameapa kutotumia tena usafiri wa anga katika kampeni, baada ya helikopta aliyokuwa anatumia kupata hitilafu na kushindwa kuruka katika Kijiji cha Idifu wilayani hapa, juzi.

 

9 years ago

Global Publishers

MV Serengeti yapata hitilafu, yashindwa kufika Bukoba

MV SERENGETI

Meli ya MV. Serengeti imekwama kufika Bukoba kutokana na kupata hitilafu katika propera zake, na inadaiwa kuwa ilipita eneo zilipotegwa nyavu za wavuvi na kusababisha taabu.

Meli hiyo ilianza safari ya Mwanza – Bukoba jana jioni na kwa kawaida ilitakiwa kuwasili Bukoba saa 12 leo asubuhi.

Tayari Kampuni ya MCS imetuma wazamiaji eneo la tukio kuangalia namna ya kunusuru abiria waliokuwa katika meli hiyo.

Chanzo: Star TV

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Changes to the UK Visa Application Centre in Tanzania

On 31 March, our new commercial partner for UK visa services, Teleperformance Ltd., will take over the running of our Visa Application Centre in Tanzania. The Visa Application Centre will be moving from its current location at the British High Commission to different premises in Dar es Salaam as follows:
New Teleperformance Application Centre Address

Viva Towers,

294-295 Ali Hassan Mwinyi Road,

Upanga,

Dar es Salaam,

Tanzania.


 Date of Relocation 31 March 2014.


 UK visa customers...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: The EastAfrican newspaper banned from circulation in Tanzania


The EastAfrican newspaper has been banned from circulation in Tanzania, 20 years after it was launched to cover the region. 
 According to a letter sent to The EastAfrican bureau chief in Tanzania, the decision was apparently taken because the paper “has been circulating in the country without having registration, contrary to section 6 of the Newspaper Act number 3 of 1976”. 
 Reacting to the ban, the management of the Nation Media Group, which owns The EastAfrican, described the move as...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KEPTENI JOHN KOMBA HATUNAYE TENA

Hayati John Komba enzi za uhai wake
Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Kepteni John Komba amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mtoto wa Marehemu Bw. Herman Komba amethibitisha. Taarifa kamili za msiba huu zitafuata punde

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: CHADEMA YAMFUTIA UWANACHAMA MH. ZITTO KABWE

Mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu (pichano) mapema leo hii ametangaza kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa Jimbo la Kigoma Kasikani,Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe.
"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani