News Alert : MV.Magogoni yapata hitilafu ya kiufundi
Wananchi wakipigana vikumbo wakati walipokuwa wakishuka katika MV. Kigamboni na huku wengine wakiingia kwa kuhofia kubaki baada kwa wingi wa watu.
Wakishuka wananchi.
Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
Wananchi wakiwa katika mshangao.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: KIVUKO CHA MV. MAGOGONI CHAPATA KWIKWI JIONI HII


10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO


Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...
10 years ago
Mwananchi01 May
Ndege ya Clinton yapata hitilafu angani
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Chopa ya Lusinde yapata hitilafu, aapa kutoipanda
9 years ago
Global Publishers06 Jan
MV Serengeti yapata hitilafu, yashindwa kufika Bukoba
Meli ya MV. Serengeti imekwama kufika Bukoba kutokana na kupata hitilafu katika propera zake, na inadaiwa kuwa ilipita eneo zilipotegwa nyavu za wavuvi na kusababisha taabu.
Meli hiyo ilianza safari ya Mwanza – Bukoba jana jioni na kwa kawaida ilitakiwa kuwasili Bukoba saa 12 leo asubuhi.
Tayari Kampuni ya MCS imetuma wazamiaji eneo la tukio kuangalia namna ya kunusuru abiria waliokuwa katika meli hiyo.
Chanzo: Star TV
11 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: Changes to the UK Visa Application Centre in Tanzania
.jpg)
New Teleperformance Application Centre Address Viva Towers, 294-295 Ali Hassan Mwinyi Road, Upanga, Dar es Salaam, Tanzania.
Date of Relocation 31 March 2014.
UK visa customers...
10 years ago
Michuzi
News alert: The EastAfrican newspaper banned from circulation in Tanzania

The EastAfrican newspaper has been banned from circulation in Tanzania, 20 years after it was launched to cover the region.
According to a letter sent to The EastAfrican bureau chief in Tanzania, the decision was apparently taken because the paper “has been circulating in the country without having registration, contrary to section 6 of the Newspaper Act number 3 of 1976”.
Reacting to the ban, the management of the Nation Media Group, which owns The EastAfrican, described the move as...
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: KEPTENI JOHN KOMBA HATUNAYE TENA

Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Kepteni John Komba amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mtoto wa Marehemu Bw. Herman Komba amethibitisha. Taarifa kamili za msiba huu zitafuata punde
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: CHADEMA YAMFUTIA UWANACHAMA MH. ZITTO KABWE

"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo...