NEWS ALERT: Changes to the UK Visa Application Centre in Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-9KCor00aZ3I/UzM0pugo34I/AAAAAAAFWsU/L75_ytSDPto/s72-c/unnamed+(16).jpg)
On 31 March, our new commercial partner for UK visa services, Teleperformance Ltd., will take over the running of our Visa Application Centre in Tanzania. The Visa Application Centre will be moving from its current location at the British High Commission to different premises in Dar es Salaam as follows:
New Teleperformance Application Centre Address
Date of Relocation 31 March 2014.
UK visa customers...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tQhlSzqAH0E/VMMfNVKxa8I/AAAAAAAG_R8/Mii8wMEMk-w/s72-c/tea-pic.jpg)
News alert: The EastAfrican newspaper banned from circulation in Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-tQhlSzqAH0E/VMMfNVKxa8I/AAAAAAAG_R8/Mii8wMEMk-w/s1600/tea-pic.jpg)
The EastAfrican newspaper has been banned from circulation in Tanzania, 20 years after it was launched to cover the region.
According to a letter sent to The EastAfrican bureau chief in Tanzania, the decision was apparently taken because the paper “has been circulating in the country without having registration, contrary to section 6 of the Newspaper Act number 3 of 1976”.
Reacting to the ban, the management of the Nation Media Group, which owns The EastAfrican, described the move as...
10 years ago
Michuzi01 May
NEWS ALERT: JK ATEUA MAJAJI WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua Majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani kuanzia Jumamosi iliyopita, Aprili 24, 2015, taarifa iliyotolewa Dar es Salaam, leo, Alhamisi, Aprili 30, 2025 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) imesema.
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
Taarifa hiyo imewataja wajaji hao kuwa ni Jaji Augustine Gherabast Mwarija na Jaji Stella Ester Augustine Mugasha, ambao wote wamekuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania tokea...
11 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9LsGHPviNbs/VVyIVpv_HwI/AAAAAAAHYhw/2QE1KpB51PA/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
News alert: MultiChoice officially launches Box Office in Tanzania today!
![](http://2.bp.blogspot.com/-9LsGHPviNbs/VVyIVpv_HwI/AAAAAAAHYhw/2QE1KpB51PA/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Aug
NEWS ALERT: Rais Kikwete ateua Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wapya 20
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, amewateua wafuatao kuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzaniakuanzia tarehe 13 Agosti, 2014.
WATUMISHI WA MAHAKAMA
(i) Bw. Penterine Muliisa KENTE, ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam.
(ii) Bw. Benedict Bartholomew MWINGWA,ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Dar es...
WATUMISHI WA MAHAKAMA
(i) Bw. Penterine Muliisa KENTE, ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam.
(ii) Bw. Benedict Bartholomew MWINGWA,ambaye kabla ya uteuzi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu, Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o07TO0fXsMI/VDmnL3tmIHI/AAAAAAAGpWA/Bs4K1DFE8Dk/s72-c/MMGM0202.jpg)
NEWS ALERT: SITTI ABBAS MTEMVU NDIYE MISS REDDS TANZANIA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-o07TO0fXsMI/VDmnL3tmIHI/AAAAAAAGpWA/Bs4K1DFE8Dk/s1600/MMGM0202.jpg)
Mrembo wa Redd's Miss Tanzania 2014,Sitti Abbas Mtemvu akiwa katika picha ya pamoja na Mshindi wa pili,Lillian Kamazima (kulia) na Mshindi wa Tatu,Jihhan Dimachk mara baada ya kutawazwa rasmi usiku huu kwenye ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam.Sitti Mtemvu alianza kwa kunyakua Redds Miss Chang'ombe na baadaye Redds Miss Temeke. Sitti ni binti wa Mbunge wa Temeke, Mhe. Abbas Mtemvu.
Picha zote na Othman Michuzi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-m7uj1xZzd5A/VDmnIkq1nCI/AAAAAAAGpV4/I_4S4Tf0TDs/s1600/MMGM0157.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Jul
NEWS ALERT: Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania ajiua kwa risasi
Balozi Mdogo wa Libya nchini Tanzania,Ndg. Ismail Nwairat amefikwa na mauti baada ya kujifungia ofisini kwake na kujifyatulia risasi kifuani.tukio hilo lilitokea jana jioni na chanzo chake bado hakijafahamika mpaka sasa.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje,imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje,imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s72-c/unnamed.jpg1.jpg)
NEWS ALERT: TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAWEKEZAJI NA MARAIS WA NCHI 5 ZA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s1600/unnamed.jpg1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7xWjTRdB_8/VRB18gDheJI/AAAAAAAHMls/A3SYM6P0VhE/s1600/unnamed.jpg2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIbwni2OPnA/VJiURzEbUXI/AAAAAAAG5IY/XlIu69ch3kA/s72-c/unnamed%2B(17)%2Bcopy.jpg)
NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA
Na Editha Karlo Globu ya Jamii,Kigoma
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania