NEWS ALERT: CHADEMA YAMFUTIA UWANACHAMA MH. ZITTO KABWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-OClUrAzz45Y/VP7bze_QT3I/AAAAAAAHJTs/Ig4_Mht_khM/s72-c/131eTunduLissu.jpg)
Mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu (pichano) mapema leo hii ametangaza kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa Jimbo la Kigoma Kasikani,Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe.
"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s72-c/zitto.jpg)
News alert: Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-NuN9HeqF7FA/U4rrXVv3IXI/AAAAAAAFm4s/00_jgF6FC2E/s1600/zitto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-08ecGhtr6sc/U4rstY3LYFI/AAAAAAAFm48/WJEeSqMC9aY/s1600/1401611667127.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqIJRlagvGo/XkuWfPBy66I/AAAAAAALd2E/r-plicEL0lQ5JWkYClWI9hrs4HDyk6VzgCLcBGAsYHQ/s72-c/zitto%252Bpic.jpg)
NEWZ ALERT : MBUNGE ZITTO KABWE AKUTWA NA KESI YA KUJIBU
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqIJRlagvGo/XkuWfPBy66I/AAAAAAALd2E/r-plicEL0lQ5JWkYClWI9hrs4HDyk6VzgCLcBGAsYHQ/s640/zitto%252Bpic.jpg)
Zitto anakabiliwa na kesi ya uchochezi namba 237 ya mwaka 2018.
Taarifa kamili tutawaletea baadae.......
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwBvzyav3SUM3awUicB*lqZpI9qqZ4nZB3A0vjpsnS3ueCM8rYta2-oF9opUTbo1VWAg5494VZRY8fDcNoEA0OX/ZITTOKABWE.jpg?width=650)
MASKINI ZITTO KABWE CHADEMA
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Chadema yambwaga zitto Kabwe Mahakamani
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Chadema: Hatukuzuiwa kumjadili Zitto Kabwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQ-NeKfBjZ8PlQh1KGGfLSk3Z4D64Ktq92BeFYzr7yw-eFq9qeHZozLauGod6RMxrP5C22WX-gM1qAIym2*x25T/ZITTOKABWETABORA1.jpg)
ZITTO KABWE AVULIWA UANACHAMA CHADEMA
10 years ago
IPPmedia03 Feb
Kigoma legislator, Zitto Zuberi Kabwe (Chadema)
IPPmedia
IPPmedia
Kigoma legislator Zitto Zuberi Kabwe (Chadema) has proposed introduction of digital land titles in a bid to curb persistent land conflicts in the country. Debating the annual report tabled by the Parliamentary Committee on Land, Environment and Natural ...