NEWS ALERT: KEPTENI JOHN KOMBA HATUNAYE TENA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uIMQETlgtA/VPHdDl9ejfI/AAAAAAAHGjg/SotvEPG_RKs/s72-c/0L7C1990.jpg)
Hayati John Komba enzi za uhai wake
Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Kepteni John Komba amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mtoto wa Marehemu Bw. Herman Komba amethibitisha. Taarifa kamili za msiba huu zitafuata punde
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Shiwata kuziba nafasi ya Kepteni John Komba
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unatarajia kutaja majina ya wanachama wake watakaokabidhiwa nyumba 13 katika Kijiji cha Mwanzega, Mkuranga.
Mwenyekiti wa mtandao huo, Cassim Twaalib, alisema mkutano huo utafanyika katika ofisi zake zilizopo Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi.
Twaalib aliongeza kwamba pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi ambazo ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Marehemu Kepteni Komba, Katibu ambayo ilikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG89vxSgAswCC9QN-3Um7-TXAknth*iFsZVcvZ21eaYBEJIk3NoTVel-J9bIwrSPLJ4UDMmewna6fryHP3hYsIoz/11.jpg?width=650)
UNDANI WA KIFO CHA KEPTENI JOHN KOMBA!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-chn-WYQ2XEo/VPSs-eS5qUI/AAAAAAAHHM4/uyVDp8Can5w/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
mwili wa hayati kepteni John Damiano Komba wawasili Songea
![](http://4.bp.blogspot.com/-chn-WYQ2XEo/VPSs-eS5qUI/AAAAAAAHHM4/uyVDp8Can5w/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sBp_NkAub7s/VPNJodO9EPI/AAAAAAADbOQ/yGdIEwytG2U/s72-c/ko01.jpg)
RAIS KIKWETE AFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU KEPTENI JOHN KOMBA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-sBp_NkAub7s/VPNJodO9EPI/AAAAAAADbOQ/yGdIEwytG2U/s1600/ko01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqpSsbr7ZUE/VPNJoSG-ZDI/AAAAAAADbOU/yuY42-jeg-c/s1600/ko2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWkKMwKvat6HWYjamamJ*7cF5GK0mAwvIxuIO5*hg3oFv2BlwCMYsvkXne1osl-QicDvqjGz0TEtDPLBSP3p27sd/ko01.jpg)
RAIS KIKWETE AFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU KEPTENI JOHN KOMBA LEO
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: Moto wazuka tena katika Msikiti wa Mtambani leo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s72-c/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
News alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s1600/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CupcltNCSMc/VPRGBpwuwjI/AAAAAAAHG9Q/5rvQhqtSRWA/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
RAIS KIKWETE AUNGANA NA WATANZANIA WENGINE KUUAGA MWILI WA KEPTENI JOHNE KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CupcltNCSMc/VPRGBpwuwjI/AAAAAAAHG9Q/5rvQhqtSRWA/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XbytSok9hO4/VPRGBq1EH7I/AAAAAAAHG9U/tjP3GLogk00/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Rais Kikwete aungana na mamia ya waombolezaji kumzika Kepteni Komba kijijini Lituhi
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma jana.(picha na Freddy Maro).
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake...