Ndege ya Clinton yapata hitilafu angani
Dar/Dom. Ndege iliyokuwa imembeba rais mstaafu wa Marekani, Bill Clinton na mwanaye Chelsea, juzi ilipata hitilafu katika moja ya injini zake na kulazimika kutua Dodoma kwa ajili ya matengenezo kabla ya kuendelea na safari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
9 years ago
Global Publishers06 Jan
MV Serengeti yapata hitilafu, yashindwa kufika Bukoba
Meli ya MV. Serengeti imekwama kufika Bukoba kutokana na kupata hitilafu katika propera zake, na inadaiwa kuwa ilipita eneo zilipotegwa nyavu za wavuvi na kusababisha taabu.
Meli hiyo ilianza safari ya Mwanza – Bukoba jana jioni na kwa kawaida ilitakiwa kuwasili Bukoba saa 12 leo asubuhi.
Tayari Kampuni ya MCS imetuma wazamiaji eneo la tukio kuangalia namna ya kunusuru abiria waliokuwa katika meli hiyo.
Chanzo: Star TV
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Chopa ya Lusinde yapata hitilafu, aapa kutoipanda
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
News Alert : MV.Magogoni yapata hitilafu ya kiufundi
Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
Wananchi wakiwa katika mshangao.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Teknolojia mpya ya usimamizi na usalama wa ndege angani
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Urusi:Ndege iliyoanguka Misri ilivunjikia angani
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uI9tKWBIvdA/default.jpg)
Angalia walichokutana nacho angani hawa abiria wa ndege
![](http://raha.mipasho.com/wp-content/uploads/sites/4/2014/10/virgin-galactic-spaceship-800x449.jpg)
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya..
Matukio yameendelea kuchukua headlines India.. ukiachia lile tukio la joto kali lililofanya watu kushindwa kuvumilia na kukaa ndani ya maji wakihofia maisha yao huku wengine wakipoteza maisha kutokana na joto kali kuna hii nyingine imetokea huko. Ndege ya Air India ambayo ilikua ikitoka Mumbai kuelekea London, Uingereza ililazimika kugeuza safari ikiwa na abiria wake 171 na […]
The post Ndege ya abiria ilivyokatiza safari yake angani kisa Panya.. appeared first on...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kashkashi angani: Rubani awehuka, ateka ndege yake mwenyewe