Sasa ni rahisi zaidi kutazama account yako na Tenbre App
Sasa unaweza kucheki bill ya account yako mpaka miezi sita kwa app ya tenbre. Unaweza kuona historia ya account yako, makato au marejesho ya kiasi cha pesa pia yataonekana.
Anza kwa kuchagua “smart card”. Hii itakuonyesha orodha ya vitu mbali mbali.
Chini ya orodha hii, utaona “Account Bill”, chagua hiyo ili kuangalia bill yako.
Unaweza kuchagua mwezi unaotaka kuangalia:
Download Tenbre kwa kutembelea Play Store kwenye simu yako ya Android au bofya hapa
Kama una swali au ungependa kujua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video)
Tunasema asante kwa teknolojia kila siku kwa sababu ya vitu vizuri ambavyo tunakutana navyo vikikufikia na kurahisisha mambo mengi kwa sababu tu wataalam wamekaa na wamebuni kitu kizuri !! Unaambiwa ni suala la kukaa tayari wakati wowote kuanzia sasa tutakuwa na simu zenye uwezo wa kufanya scanning chakula na kutoa majibu kwamba kwenye chakula kuna […]
The post Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Cheki list ya vipindi vyako vyote vikali kwenye simu yako na Tenbre Star Times!
Ukishamaliza kudownload app ya Tenbre Star Times, kuangalia orodha ya vipindi vinayo ruka kwa siku hiyo, ni rahisi sana!
1. Kwenye app yako ya tembre, bonyeza kitufe cha menu (nyekundu) juu kushoto kwenye screen ya simu yako. Hii itakuletea orodha yenye baadhi ya vitu kuchagua. Bofya “Channel Guide”.
2. Sasa utaona orodha kama hii ya kwanza. Ukiscroll chini utaona orodha ya chaneli zilizopo.
3. Chagua chaneli unayotaka na orodha ya vipindi vinavyoruka kwa siku hiyo ita tokezea.
Kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJ-4NTWjiwtd61ULJH9t9t-iGF5U*eCjgWdTKzIr2esGSzGbHE83BmTAzrETFoxBQ*LaDbN*4kNd3-EHuqD3NwG/15.jpg?width=650)
NI RAHISI SANA KUIMARISHA NDOA YAKO!
9 years ago
Bongo529 Oct
Soggy Doggy adai mashabiki wa sasa wanapenda ‘kutazama kuliko kusikiliza’
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania
Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 […]
The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y0yoFbHKm8o/VT9Zk8qt6JI/AAAAAAAC3ug/XVfYGITxgyg/s72-c/1.jpg)
Download App Ya Mjengwablog Upate Mengi Kwenye Simu Yako...!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y0yoFbHKm8o/VT9Zk8qt6JI/AAAAAAAC3ug/XVfYGITxgyg/s1600/1.jpg)
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YbuRq0PNr5I/XvSxgROalNI/AAAAAAAEIA8/uL2P8-XAkIwaOeJ5batzsChk3krO_qrNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5a8dc6a5-a058-4415-9fb1-b34e3c142f18-768x512.jpg)
WATEJA WA HALOTEL KIDIGITALI ZAIDI NA HALOPESA APP
![](https://1.bp.blogspot.com/-YbuRq0PNr5I/XvSxgROalNI/AAAAAAAEIA8/uL2P8-XAkIwaOeJ5batzsChk3krO_qrNgCLcBGAsYHQ/s640/5a8dc6a5-a058-4415-9fb1-b34e3c142f18-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8305cbaa-23a6-4f9e-951c-67c64a141123-1024x683.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-PGJV-hBHUQo/U7PR9vI2fAI/AAAAAAAABSw/_VeEfu29WyU/s72-c/page+1.jpg)