Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATEJA WA HALOTEL KIDIGITALI ZAIDI NA HALOPESA APP

Afisa Bidhaa HaloPesa Roxana Kardio ( Kulia), Hindu Kanyamala ,Afisa wa Habari wa Halotel(kushoto) Magesa Wandwi wa Kitengo cha Biashara HaloPesa(Kulia) wakionesha HaloPesa APP walizopakua kwenye simu janja zao.Mkuu wa Kitengo cha Biashara HaloPesa, MagesaWandwi (Kulia) ,Akizungumza na waandishi wa Habari, makao makuu ya Halotel katika uzinduzi wa Huduma ya HaloPesa App ikienda kwa jina la kampeni #ChillaxNa HaloPesa APP, ambapo wateja wote wa Halotel wataweza kupakua HaloPesa APP kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KWA MARA YA KWANZA WATEJA WA HALOPESA KUNEEMEKA GAWIO,KUPATA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI MOJA

 Katika muendelezo wa kutoa  huduma bora za kifedha nchini. Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel kupitia huduma zake za kifedha za HaloPesa, inatarajia kutoa Gawio kwa wateja wake.
Hatua hiyo ikiwa ni hatua ya kwanza kwa HaloPesa kutoa gawio kiasi cha shilingi bilioni moja kwa wateja  wake Zaidi ya Milioni 1.9  ambao ni pamoja na wateja binafsi, mawakala na washirika wake mbalimbali wanatumia huduma za HaloPesa.
Akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar Es Salaam, Mkuu wa kitengo...

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM KUWAPATIA WATEJA WAKE MUZIKI WA KIDIGITALI KUTOKA DEEZER

Kampuni maarufu ya kuuza muziki kwa njia ya digitali inayojulikana kama Deezer, imeingia ushirikiano na kampuni ya Vodacom ambapo wateja wa Vodacom wataweza kupakua muziki katika maktaba kubwa ya muziki ya kampuni hiyo yenye nyimbo zaidi ya milioni 35.
Deezer ni kampuni kubwa ya kuuza muziki kwa njia ya kidigitali nchini Afrika ya kusini.Katika kusherehekea ushirikiano huu na Vodacom wateja wapatao 17 milioni wa Vodacom watajipatia offer ya kipindi cha mwezi mmoja ya kupakua bure muziki wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sasa ni rahisi zaidi kutazama account yako na Tenbre App

Sasa unaweza kucheki bill ya account yako mpaka miezi sita kwa app ya tenbre. Unaweza kuona historia ya account yako, makato au marejesho ya kiasi cha pesa pia yataonekana.

Anza kwa kuchagua “smart card”. Hii itakuonyesha orodha ya vitu mbali mbali.

Untitled 1

Chini ya orodha hii, utaona “Account Bill”, chagua hiyo ili kuangalia bill yako.

Untitled 2

Unaweza kuchagua mwezi unaotaka kuangalia:

Untitled 3

Download Tenbre kwa kutembelea Play Store kwenye simu yako ya Android au bofya hapa

Kama una swali au ungependa kujua...

 

5 years ago

TechCrunch

This Week in Apps: Coronavirus impacts app stores, Facebook sues mobile SDK maker, Apple kicks out a cloud gaming app

This Week in Apps: Coronavirus impacts app stores, Facebook sues mobile SDK maker, Apple kicks out a cloud gaming app  TechCrunch

 

10 years ago

Michuzi

BANK M KUBORESHA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE

 Naibu Mkurugenzi wa Habari wa Bank M,Allan Msalilwa akizungumza na waandishi habari (hawapo pichani) katika Ukumbi wa Hayyat Regency ,jijini Dar es Salaam juu ya huduma zinazotolewa na benki hiyo.Afisa Mtendaji Mkuu Biashara wa Bank M,Jacqueline Woiso akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu uboreshaji wa huduma kwa wateja wa benki hiyo.======= ======== ======== ===========Na Chalila Kibuda na Globu ya Jamii,Dar.


Benki M imesema imeendelea kuboresha huduma kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wateja B-Pesa kufanya miamala zaidi ya nchi 140

Kampuni ya Smart Banking Solutions kupitia kadi yake ya B-Pesa imesaini mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya malipo ya China maarufu UnionPay.

 

5 years ago

Michuzi

Absa Tanzania yawahakikishia wateja wake huduma bora zaidi

 Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dr. Bernard Kibesse (katikati), akiinua glasi ili kuitakia mafanikio bora benki ya Absa Tanzania akiwa pamoja na, kutoka kushoto; Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mkurugenzi Mtendaji wa Kanda wa Absa, Saviour Chibiya, Mwenyekiti wa Bodi ya Absa Tanzania, Simon Mponji na Mjumbe wa Bodi ya Absa Tanzania, DK. Suleiman Mohamed. Naibu Gavana Kibesse alikuwa megni rasmi katika hafla iliyoandaliwa na Absa kwa wateja wake...

 

10 years ago

Michuzi

ZAIDI YA BILIONI 29 ZINAWASUBIRI WATEJA WA VODACOM KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS

Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku.
Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi kufikia idadi ya 947 na kutokufanikiwa kupata mshindi wa fedha taslimu na kubakia na idadi ileile ya washindi watano waliojishindia...

 

9 years ago

Bongo Movies

Matangazo mtandaoni: Mbinu mpya ya kuwafikia wateja wengi zaidi

Kwa wiki nne mfululizo tumekuwa tukikuwekea hapa baadhi ya Makala kuhusiana na simu ya Huawei Y360 inayouzwa kwa ushirikiano kati ya makampuni nguli ya mawasiliano nchini, Tigon a Huawei.

Sababu kubwa ya kuweka Makala hizo, tulikuwa tukifuatilia aina mpya ya kufanya matangazo ambayo inatumika. Makampuni haya yamekua yakitumia kurasa za Facebook, Twitter, Blogs na mitandao mingine mingi kuwafikia watu wengi zaidi.

Mpaka sasa Huawei Y360 kupitia njia hii imewafikia watu wengi zaidi? Jibu ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani