VODACOM KUWAPATIA WATEJA WAKE MUZIKI WA KIDIGITALI KUTOKA DEEZER

Kampuni maarufu ya kuuza muziki kwa njia ya digitali inayojulikana kama Deezer, imeingia ushirikiano na kampuni ya Vodacom ambapo wateja wa Vodacom wataweza kupakua muziki katika maktaba kubwa ya muziki ya kampuni hiyo yenye nyimbo zaidi ya milioni 35.
Deezer ni kampuni kubwa ya kuuza muziki kwa njia ya kidigitali nchini Afrika ya kusini.Katika kusherehekea ushirikiano huu na Vodacom wateja wapatao 17 milioni wa Vodacom watajipatia offer ya kipindi cha mwezi mmoja ya kupakua bure muziki wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vodacom yaanzisha "Zogo" kwa Wateja wake
.jpg)
.jpg)
5 years ago
Michuzi
Vodacom yaendelea kuwezesha wateja wake kwa Kutusua Mapene
Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Unaponunua tiketi, moja kwa moja unaingia...
5 years ago
Michuzi
Vodacom yaendelea kuzawadia wateja wake wa shindano la Tusua Mapene

Meneja mauzo wa Vodacom Njombe, Benedict KItogwa (kulia) akimkabidhi mshindi wa wiki wa bahati nasibu ya Tusua mapene na Vodacom, Vitus Gama mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10. Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
10 years ago
Michuzi
Vodacom Tanzania ilivyowarusha wateja wake kila kona ya jiji la Dar



10 years ago
GPL
VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR
11 years ago
GPLVODACOM YAENDELEA KUSOGEZA ZAIDI HUDUMA ZA MAWASILIANO KWA WATEJA WAKE
5 years ago
Michuzi
WATEJA WA HALOTEL KIDIGITALI ZAIDI NA HALOPESA APP


10 years ago
GPL
MKUU WA WILAYA TEMEKE ASHAURI VODACOM KUSAMBAZA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE
5 years ago
Michuzi
Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC yakinga wateja wake waendapo kupata huduma Vodashop


