Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mez B & Ray C - Kama Vipi jikumbushe na hii

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

REMEMBERING MEZ B: moja ya nyimbo zake bora; KAMA VIPI Feat Ray C & Noorah

Hii video ni moja ya nyimbo zake bora hayati Mez B R.I. P; KAMA VIPI Feat Ray C & Noorah

 

10 years ago

Vijimambo

WAMEZE CHUPA SASA KAMA VIPI BASI JITIRIRISHE NA HII


BAADA YA MANENO MENGI ZARI AMUUA KUONYESHA KI TUMBO CHAKE

 

10 years ago

Vijimambo

JIKUMBUSHE NA HII NAJUA ULICHAPITIWA NA HII

Unaikumbuka hii kwa jina gani maana inamajina menge.

 

10 years ago

GPL

RAY VIPI, AU WALIYOKUWA WAKISEMA NI KWELI?

SEKTA ya filamu katika Tanzania ni kama imesimama, haionekani kwenda au kurudi, ingawa kwa kawaida hali inapokuwa hivi, ni kama inaangamia. Sinema inayotengenezwa mwaka huu, inatakiwa iwe tofauti kabisa na iliyoshutiwa mwaka jana au juzi. Licha ya watu wengi kuipenda fani hii na hivyo kuwa wanunuzi wazuri wa kazi zao, bado wasanii wetu hawaonekani kuelewa kelele zinazopigwa juu ya ubora wa kazi zao, kwa maana ya mtiririko mzuri...

 

9 years ago

MillardAyo

FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)

December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christmas, hivyo December 30 iliendelea kama kawaida. Miongoni mwa michezo iliyochezwa December 30 ni mechi kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Betis. Huu ni […]

The post FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video) appeared first on...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete

Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu

Vicent Kigosi “Ray”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani