RAY VIPI, AU WALIYOKUWA WAKISEMA NI KWELI?
![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIu6f8zalRrdr5eqjHel6hLZ8CIBIy2aqpiI6iuKMsJKz61eZ1O6Ha1jA39JpEX9ic8*uvsAWETJnEQlN3cJQnKN/MAMAWEMAh.jpg)
SEKTA ya filamu katika Tanzania ni kama imesimama, haionekani kwenda au kurudi, ingawa kwa kawaida hali inapokuwa hivi, ni kama inaangamia. Sinema inayotengenezwa mwaka huu, inatakiwa iwe tofauti kabisa na iliyoshutiwa mwaka jana au juzi. Licha ya watu wengi kuipenda fani hii na hivyo kuwa wanunuzi wazuri wa kazi zao, bado wasanii wetu hawaonekani kuelewa kelele zinazopigwa juu ya ubora wa kazi zao, kwa maana ya mtiririko mzuri...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U6TjWNrvWos/default.jpg)
10 years ago
GPL22 Feb
REMEMBERING MEZ B: moja ya nyimbo zake bora; KAMA VIPI Feat Ray C & Noorah
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Ray C, kama ni kweli unamuaibisha JK kwa makusudi
Rehema Chalamila Ray C.
MIONGONI mwa wasanii ambao wanabeba nembo ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa wanawake, huwezi kuacha kulitaja kwa kujiamini kabisa jina la Rehema Chalamila, ambaye mashabiki wanamtambua zaidi kama Ray C.
Alifanya kazi kubwa, siyo tu kuonesha kuwa wanawake wanaweza, bali pia kuthibitisha kiasi kikubwa cha ubora wake katika tungo, uimbaji na zaidi, uwezo wa kutumia mwili wake kuvutia mashabiki kwa kuonesha manjonjo jukwaani.
Jambo hili lilisababisha kupata wafuasi...
10 years ago
Bongo513 Jun
Kilio cha Ray C chazusha mjadala kama kweli Methadone ni tiba inayomfaa!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkoaTwSVz5omWS6CQuw2hzCfj9PdQdOEvFbyvfzVzZ0CHxznBKwRRaZUhPjJLbzJW0S*Jr8NkUXb6dYmhOWDIFK/zachembe.jpg)
MASOGANGE, WAKISEMA UNAJIUZA UTAKATAA?
10 years ago
GPLMAKOMANDOO WA NEPAL WAONYESHA NYUMBA YA MNYARWANDA WALIYOKUWA WAKILINDA UWANJA WA NDEGE DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...