Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASOGANGE, WAKISEMA UNAJIUZA UTAKATAA?

Agnes Jerald 'Masogange'. AGNES Jerald, binti anayetumika sana kunengua na pozi katika video za nyimbo za wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya, amejipatia umaarufu mkubwa sana baada ya kufanya kazi na mkali wa Morogoro, Belle 9 katika kibao chake cha Masogange. Limegeuka kuwa jina lake na mwenyewe analitumia kikamilifu katika harakati za kimjini. Lakini aligeuka kuwa kipusa zaidi baada ya kukamatwa katika Uwanja wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

MO MUSIC: Muziki wangu unajiuza

11075035_1563915640564145_1787121838512661055_nNA MAULI MUYENJWA

MSANII wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema muziki wake unajiuza wenyewe na kumpa umaarufu na mkwanja kitu kinachomfanya asitumie skendo kupushi game yake.

Akipiga mastori na Swaggaz, Mo Music alisema kumekuwa na uvumi kuwa amezama kwenye dimbwi zito la mapenzi
na mwandishi wa habari kwenye moja ya redio maarufu hapa mjini kitu ambacho hakina ukweli.

“Sijawahi kuwa na mpenzi mwanahabari, ingawa nafahamiana na wengi ambao tumefahamiana kwa ajili ya kazi
tu,...

 

10 years ago

GPL

RAY VIPI, AU WALIYOKUWA WAKISEMA NI KWELI?

SEKTA ya filamu katika Tanzania ni kama imesimama, haionekani kwenda au kurudi, ingawa kwa kawaida hali inapokuwa hivi, ni kama inaangamia. Sinema inayotengenezwa mwaka huu, inatakiwa iwe tofauti kabisa na iliyoshutiwa mwaka jana au juzi. Licha ya watu wengi kuipenda fani hii na hivyo kuwa wanunuzi wazuri wa kazi zao, bado wasanii wetu hawaonekani kuelewa kelele zinazopigwa juu ya ubora wa kazi zao, kwa maana ya mtiririko mzuri...

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE...

Na  Waandishi Wetu
HATIMAYE yule Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ aliyepatikana na hatia ya kuingiza nchini Afrika Kusini malighafi haramu aina ya ephedrine, amemtaja mtu aliyemtuma mzigo huo kuwa ni Mkongomani, Risasi Jumamosi limedondokewa na ‘kismati’. Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’. Katika mahojiano ‘spesho’ na gazeti hili...

 

10 years ago

GPL

UCHUMBA WA MASOGANGE WATIBULIWA

Stori: Mwandishi Wetu SIKU chache baada ya kupata uraia wa Afrika Kusini, uchumba wa Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ na mpenzi wake, Louis Dolnard umetibuliwa. Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ Hali hiyo ilijiri kutokana na madai kuwa kuna wanaume wamepeleka maneno ya kimbeya kwa mpenzi wake huyo yakiashiria kuwa mrembo huyo hajatulia. Hata hivyo, Agnes amefunguka kuwa kamwe hawezi kuachana...

 

10 years ago

GPL

MCHUMBA: MASOGANGE KANISALITI

STORI: Musa Mateja
MCHUMBA wa Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ aitwaye Evance Kom juzikati alijikuta akivunja ukimya kwa kuweka wazi kuwa msichana huyo amemsaliti baada ya kuvunja makubaliano yao. Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’. Akizungumza na gazeti hili Jumatatu hii, alisema hana tena mpango wa kuoana na Agnes kwani kitendo chake cha kuamua kuhamia Afrika...

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE AHAMIA SAUZI

VIDEO Queen matata Bongo, Agness Jelard ‘Masogange’ amehamia nchini Afrika Kusini ‘sauzi’ kwa ajili ya kutafuta maisha. Akipiga stori na paparazi wetu, Masogange alisema ameamua kuhamia nchini humo ambapo ndipo atakapokuwa akiishi maisha yake yote na Tanzania atakuwa anakuja kutembea tu. Video Queen matata Bongo, Agness Jelard ‘Masogange’. “Nimeamua hivyo kwani nahisi huku ndiy  o...

 

9 years ago

GPL

MASOGANGE, DAVIDO PENZI...

Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria ‘Naija’, David Adedeji Adeleke ‘Davido’ wakijiachia katika klabu moja ya usiku nchini Afrika Kusini. Mwandishi wetu PENZI ni kikohozi, kulificha huwezi! Habari ya mjini kwa sasa ni mahaba niue ya muuza nyago kwenye nyimbo za wanamuziki wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ na staa wa muziki nchini Nigeria...

 

9 years ago

GPL

LUNGI AMLIPUA MASOGANGE

Gladness Mallya na Hamida Hassan MSANII wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi Maulanga amemlipua Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ kwamba hajui kutumia umbo lake vizuri ndiyo maana amemtelekeza mwanaye.Akipiga stori na Ijumaa, Lungi alidai Masogange amemwacha mwanaye kwa shangazi yake huku malezi yake yakiwa duni wakati yeye akijiachia kimjini. Msanii wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi...

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE ATIMULIWA SAUZ!

Sifael Paul na Imelda Mtema
HABARI ikufikie kuwa muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutimuliwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ na sasa amekuwa akionekana Bongo akirandaranda mitaani. Muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’. TUJIUNGE JOHANNESBURG
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani