Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MO MUSIC: Muziki wangu unajiuza

11075035_1563915640564145_1787121838512661055_nNA MAULI MUYENJWA

MSANII wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema muziki wake unajiuza wenyewe na kumpa umaarufu na mkwanja kitu kinachomfanya asitumie skendo kupushi game yake.

Akipiga mastori na Swaggaz, Mo Music alisema kumekuwa na uvumi kuwa amezama kwenye dimbwi zito la mapenzi
na mwandishi wa habari kwenye moja ya redio maarufu hapa mjini kitu ambacho hakina ukweli.

“Sijawahi kuwa na mpenzi mwanahabari, ingawa nafahamiana na wengi ambao tumefahamiana kwa ajili ya kazi
tu,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MENINAH: NAOGOPA MAPENZI YATAVURUGA MUZIKI WANGU

Mwimbaji wa Bongo Flava aliyewahi kuwa mshiriki wa BSS, Meninah Ladivah akifanya mahojiano katika kipindi cha Hatua Tatu leo. Meninah akiwa studio na mtangazaji anayeongoza kipindi cha Hatua Tatu, Times Fm, Maryam Kitosi. Mwimbaji wa Bongo Flava aliyewahi kuwa mshiriki wa BSS, Meninah  amesema anaogopa kuwa katika uhusiano wa mapenzi kwa sasa anaamini… ...

 

5 years ago

Bongo5

Safari ya muziki wangu imejaa maumivu na vilio – Q Chief

Muimbaji mkongwe wa muziki Q Chief amesema show yake ya ‘Miaka 15 ya Q Chief’ katika muziki inayotarajia kufanyika April 30 katika ukumbi wa Next Door, Masaki, jijini Dar es salaam itakuwa ni show ambayo itabeba mambo mengi yakumtoa machozi kutokana na changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki.

Akiongea na Bongo5, Q Chief amesema atatumia show hiyo kumtambulisha mama watoto wake kama miongoni mwa watu waliompigania katika nyakati zote.

“Show hii itakuwa ni burudani lakini pia naweza...

 

9 years ago

Bongo5

Muziki wangu utapata thamani zaidi nikifa – Q-Chief

Chilla

Mkali wa ‘For You’, Q-Chief, amesema kuwa hata kama akifa leo muziki wake utapanda thamani mara dufu kutokana na nyimbo zake kuwa nzuri.

Chilla

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, kuwa uwezo wake wa kutunga nyimbo za kuishi muda mrefu utawafanya wanae waishi maisha mazuri baadaye.

“Mimi sikupiga muziki ambao ni bubble gum, mimi nimepiga muziki unaoishi kuliko maisha yangu. Nikifa leo value yangu inakuwa mara tatu ya mimi kuwa hai, and therefore unaweza hata...

 

10 years ago

CloudsFM

NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI

Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.

 

9 years ago

Bongo5

Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba

Mdogo wake na Alikiba, Abdul Kiba amesema muziki wake unaathiriwa na malumbano yasiyoisha kati ya mashabiki wa Kiba na Diamond. Abdul Kiba aliyewahi kutamba na wimbo Kidela aliomshirikisha kaka yake huyo, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa kinachorushwa na Clouds TV kuwa mashabiki wa wasanii hao wamekuwa wakimshambulia yeye bila sababu yoyote. “Zimeathiri kwa sababu muziki […]

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE, WAKISEMA UNAJIUZA UTAKATAA?

Agnes Jerald 'Masogange'. AGNES Jerald, binti anayetumika sana kunengua na pozi katika video za nyimbo za wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya, amejipatia umaarufu mkubwa sana baada ya kufanya kazi na mkali wa Morogoro, Belle 9 katika kibao chake cha Masogange. Limegeuka kuwa jina lake na mwenyewe analitumia kikamilifu katika harakati za kimjini. Lakini aligeuka kuwa kipusa zaidi baada ya kukamatwa katika Uwanja wa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Ruby Band – Mke Wangu

Ruby Band

Wimbo mpya kutoka kwa Ruby Band unaitwa “Mke Wangu”, Studio Chaidaz Records Producer Abdy Dady

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Heri Muziki — Watu

Download au kusikiliza wimbo mpya wa Heri Muziki uitwao ‘Watu’. Wimbo umeandikwa na kutayarishwa na Mswaki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani