Ray C, kama ni kweli unamuaibisha JK kwa makusudi
Rehema Chalamila Ray C.
MIONGONI mwa wasanii ambao wanabeba nembo ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa wanawake, huwezi kuacha kulitaja kwa kujiamini kabisa jina la Rehema Chalamila, ambaye mashabiki wanamtambua zaidi kama Ray C.
Alifanya kazi kubwa, siyo tu kuonesha kuwa wanawake wanaweza, bali pia kuthibitisha kiasi kikubwa cha ubora wake katika tungo, uimbaji na zaidi, uwezo wa kutumia mwili wake kuvutia mashabiki kwa kuonesha manjonjo jukwaani.
Jambo hili lilisababisha kupata wafuasi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Jun
Kilio cha Ray C chazusha mjadala kama kweli Methadone ni tiba inayomfaa!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/fXC81QWTphU/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies10 Jul
Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete
Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu
Vicent Kigosi “Ray”...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIu6f8zalRrdr5eqjHel6hLZ8CIBIy2aqpiI6iuKMsJKz61eZ1O6Ha1jA39JpEX9ic8*uvsAWETJnEQlN3cJQnKN/MAMAWEMAh.jpg)
RAY VIPI, AU WALIYOKUWA WAKISEMA NI KWELI?
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
Habarileo28 Dec
Wanaoambukiza Ukimwi kwa makusudi kushughulikiwa
SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.
5 years ago
BBCSwahili20 May
'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PItpk6WUHLzSpEo2YeBjmjoE2be2myb3T*F02BqEv35PxlUmfaOsduktts3D5qk8bfHRAcK8yi1PjNHCVQlyOxa/chuchu.jpg?width=650)
CHUCHU NA RAY KAMA KIM NA KANYE
10 years ago
Bongo Movies12 Aug
Ray: Wasanii Tusitumike Kama ‘Big G’
Staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi amewatahadhalisha wasanii wenzake kuwa wasitumike kwenye kampeni za uchaguzi za mwaka huu bila kuangalia nani hasa atakaesaidia tasnia ya sanaa.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, Ray aliandika
Wasanii tuwe makini sana na campaign za siasa za mwaka huu tusitumike kama bigijii watutafune alafu watuteme, tuwe makini kumsapoti mgombea atakayesaidia tasnia ili maisha yetu yasogee hata kumi mbele, si kwa kudaganywa na pesa. Utabaki kuwa...