Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPA NAMNA GANI TENA????


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video 2 fupi za comedy:Mrembo hatoki bila kupaka make – up, Warembo wanapenda wanaume wa namna gani?, basi zicheki hapa..

Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa kinahusu Mrembo hatoki bila kupaka make-up na cha pili kinahusu warembo wanapenda Wanaume wa namna gani ebu bonyeza play hapa chini 😂😂😂 Mrembo hatoki bila kupaka make-up !! mtag muhusika wako A video posted by millard ayo (@millardayo) […]

The post Video 2 fupi za comedy:Mrembo hatoki bila kupaka make – up, Warembo wanapenda wanaume wa namna gani?, basi zicheki...

 

11 years ago

Michuzi

TFF INAWACHUKULIA HATUA GANI KWA WATU WA NAMNA HII.

 Pichani juu ni baadhi ya wadau wa Soka waliokutwa hivi karibuni wakijisaidia kwenye masinki ya kunawia mikono kama waonekanavyo pichani. Hapa baada ya kumaliza shughuli yao haoo wakaondoka,je wahusika wanalichukuliaje jambo hili lisilo la kiungwana kabisa ndani ya uwanja wa wetu wa mpira,ambao umejengwa kwa gharama kubwa,lakini kuna baadhi ya watu kama hawa wamekuwa wakiharibu maeneo na vifaa mbalimbali ya uwanja huo ikiwemo na kugeuza matumizi yake.
Ni mimi Mdau wa Soka la Bongo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?

Taratibu za kufuata wakati wa kuvaa barakoa kujikinga na virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Namna gani unaweza kuwa umbali wa mita mbili

Watu wameshauriwa kuwa umbali wa mita mbili ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona. Lakini unawezaje kujua upo umbali wa mita mbili na mwingine?

 

9 years ago

StarTV

Je wajua kauli gani ya Mwinyi iliyoivuruga UKAWA?Hii hapa.

Mkapa na Mwinyi Chama Cha Mapinduzi (CCM), jana  kilivunja rekodi yake kilipozindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam baada ya kuwakusanya maelfu ya wananchi waliojitokeza kuwasikiliza viongozi wa chama hicho na hasa mgombea urais, Dk. John Magufuli.

Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais wa awamu ya awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete ambao wote walirusha makombora upande wa wapinzani wakimpigia...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyamaume gani tena kutumumunya watanzania mashindano ya riadha beijing?

Jua kali Beijing Jumamosi iliyopita lilikuwa likiung’arisha uso wa Mtanzania, Ismail Juma. Alisimama karibu na mwenziye mkimbiaji mashuhuri wa Kiingereza (mwenye uzawa wa Kisomali), Mohammed Farah; au anavyojulikana Mo Farah.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uhusiano baina ya Tanzania na Finland ni wa kudumu na utaimarishwa na kutafutiwa namna ya kuukuza zaidi ya hapa ulipo sasa

f-14

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza kwenye mkutano maalum uliofanyika Ikulu, jijini Helsinki. Kulia ni mwenyeji wake Rais  wa Finland, Mh. Sauli Niinisto. 

Rais Sauli Niinisto wa Finland amemueleza Rais Jakaya Mrisho Kikwete tarehe 2 Juni, Ikulu, jijini Helsinki wakati wa Mazungumzo baina ya viongozi hao.

“Uhusiano wetu ni wa muda mrefu, ni uhusiano ambao umedumu kwa miaka 50, tumekuwa na uhusiano ambao umeleta maendeleo ya kiuchumi kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shule zinachukua tahadhari gani wakati wanafunzi wanapoanza tena masomo?

Wanafunzi wa kidato cha sita wamerejea shuleni kuendelea na masomo. Hatua mbalimbali zinachukuliwa ili kuwafanya wabaki salama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani