Exclusive gossip: Nuh Mziwanda wa Shilole, ‘achafua’ hali ya hewa kwenye mtandao wa Instagram
Nuh Mziwanda akiwa na mchumba wake, Shilole
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Huenda hii ikawa ni tabia endelevu kwa baadhi ya mastaa wa Bongo hasa wasanii wa filamu, muziki na watu maalufu kwa kung’ang’ania kuutukuza ‘Umagharibi’, hasa kwa kupenda kutumia lugha ya Kiingereza ambacho mara zote kimekuwa kikiwatoa jacho..
Hivi sasa Nuh Mziwanda ambaye mwenye mahusiano ya uchumba na mwimbaji Shilole ameibua mijadara huku wengi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni!!
Mwigizaji na mwanamziki, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yao inayowaonyesha wakiwa watupu.
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. Kwa kiufupi picha hii haina maadili na ukizingatia mwanadada Shilole ni mama na sijui watoto wake watajifunza nini hapa.
Wapo walioona kuwa kitendo...
10 years ago
Dewji Blog14 Apr
Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram
Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com
… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu ..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, ZariNa Andrew Chale wa MOdewji blog
Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagrma, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.
Uchunguzi wa kina uliofanywa...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Exclusive gossip: Wabongo ‘wamtibulia’ mwanadada wa Zimbabwe kwa Amber Rose Instagram
Picha hii ndio iliyozua ‘zengwe’ baada ya watanzania waishio Bongo na UK kutukanana matusi na Wazimbabwe waishio Uingereza (UK), ambapo hata hivyo, AmberRrose ameiondoa katika mtandao wake wa Instagram baada ya kuogopa uvunjikaji wa amani baina ya Tanzania na Zimbabwe.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Huenda ujapata kusikia hii ambayo ni mpya kabisa na hata kama umeisikia basi ni juu juu, ukweli ni kuwa, Watanzania mbalimbali ambao wanatumia Instagram (IG ) walio fans wa video queen,...
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Pinda achafua hali ya hewa
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kugombea urais 2015, imeibua maswali mazito ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo sasa makada wenzake waliofungia mwaka mmoja...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Ummy achafua hali ya hewa bungeni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSvIEXWXlijDY1LB5JTd3idxJyON9kxtK77yOWCXs2m3qwXZ7CUq5UNGnxkrRkkxh*bdQeUIrxZw8tHY2LELpEZb/shilole.jpg)
SHILOLE, NUH MZIWANDA
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Waziri Mbene achafua hali ya hewa kanisani
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene, anadaiwa kufanya uchochezi kanisani akisema kuwa wajumbe wanaotaka kura ya siri kwenye Bunge Maalumu la Katiba wana ajenda ya kuleta ushoga na...