Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda achafua hali ya hewa

HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kugombea urais 2015, imeibua maswali mazito ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo sasa makada wenzake waliofungia mwaka mmoja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ummy achafua hali ya hewa bungeni

Mwenyekiti wa Kamati namba moja, Ummy Mwalimu (pichani) jana alichafua hali hewa bungeni baada ya kuruka baadhi ya maneno na kuongeza mengine wakati alipokuwa akisoma  taarifa ya kamati hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mbene achafua hali ya hewa kanisani

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene, anadaiwa kufanya uchochezi kanisani akisema kuwa wajumbe wanaotaka kura ya siri kwenye Bunge Maalumu la Katiba wana ajenda ya kuleta ushoga na...

 

5 years ago

Bongo5

Harmorapa achafua hali ya hewa, ‘Master J mbona simjui’

Ni kweli nilichokisikia au ninaota? Eti Harmorapa hamfahamu Master J?

Rapper huyo ameonekana kuwashangaza mashabiki Jumatano hii wakati alipokuwa katika kipindi cha Kikaangoni cha EATV kuwa hamfahamu mtayarishaji huyo mkongwe wa muziki nchini.

“Master J mbona simjui? Sidhani kama ni producer maana hakuna ngoma yake yoyote inayohit ambayo mimi naijua,” amesema Harmo.

Hitmaker huyo wa ‘Kiboko ya Mabishoo’ ameongeza kwa kusema kwamba ataachia wimbo wake mpya mwezi ujao ambao umetayarishwa na...

 

11 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA NGWEA: MGENI RASMI ACHAFUA HALI YA HEWA

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
JAMBO limezua jambo! Katika hali ya kushangaza, mgeni rasmi katika shughuli ya kumbukumbu cha kifo cha aliyekuwa staa wa muziki wa Hip Hop Bongo, Albert Mangwea ‘Ngwea’ amejikuta akichafua hali ya hewa. Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro, Mourice Masala anayedaiwa kuchafua hali ya hewa katika kumbukumbu ya marehemu Albert Mangwea ‘Ngwea’. Tukio hilo lililoibua...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Nuh Mziwanda wa Shilole, ‘achafua’ hali ya hewa kwenye mtandao wa Instagram

 

 

sadNuh Mziwanda akiwa na mchumba wake, Shilole

..Maneno  ya ‘Sadd na Sadness’, ‘Women na Woman’ yamtatiza

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda hii ikawa ni tabia endelevu kwa baadhi ya mastaa wa Bongo hasa wasanii wa filamu, muziki na watu maalufu kwa kung’ang’ania kuutukuza ‘Umagharibi’, hasa kwa kupenda kutumia lugha ya  Kiingereza ambacho mara zote kimekuwa kikiwatoa jacho..

Hivi sasa Nuh Mziwanda ambaye mwenye mahusiano ya uchumba na  mwimbaji Shilole ameibua mijadara huku wengi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Dr. Agnes Kijazi, TMA Director General and Permanent Representative of Tanzania with the World Meteorological Organization (WMO) and Dr. Rob Varley, the UK Met Office Chief Executive Officer and Permanent Representative of UK with WMO signed a memorandum of understanding for a joint project in support of Climate Service Development in Tanzania. The signing ceremony was witnessed by Dr. Ladislaus Chang’a, TMA Director of Research and Applied Meteorology and Ms. Jane Wardley from the UK Met...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...

 

5 years ago

Michuzi

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) yatoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa msimu wa kipupwe nchini.

Na Karama Kenyunko Michuzi TV.

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa wa msimu wa kipupwe nchini, kwa Mwezi Juni  hadi Agosti 2020 na kusema kuwa mwaka huu kutakuwa na vipindi vya upepo mkali wa kusi na hali ya ukavu katika maeneo mengi ya nchini.

Pia mamlaka imesema, vipindi vya baridi kali vinatarajiwa kuwepo katika msimu huu katika maeneo ya miinuko ya nyanda za juu kusini magharibi hususan nyakati za usiku na na asubuhi.

Akizungumzia msimu huo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani