Pinda achafua hali ya hewa
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kugombea urais 2015, imeibua maswali mazito ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo sasa makada wenzake waliofungia mwaka mmoja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Ummy achafua hali ya hewa bungeni
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Waziri Mbene achafua hali ya hewa kanisani
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene, anadaiwa kufanya uchochezi kanisani akisema kuwa wajumbe wanaotaka kura ya siri kwenye Bunge Maalumu la Katiba wana ajenda ya kuleta ushoga na...
5 years ago
Bongo514 Feb
Harmorapa achafua hali ya hewa, ‘Master J mbona simjui’
Ni kweli nilichokisikia au ninaota? Eti Harmorapa hamfahamu Master J?
Rapper huyo ameonekana kuwashangaza mashabiki Jumatano hii wakati alipokuwa katika kipindi cha Kikaangoni cha EATV kuwa hamfahamu mtayarishaji huyo mkongwe wa muziki nchini.
“Master J mbona simjui? Sidhani kama ni producer maana hakuna ngoma yake yoyote inayohit ambayo mimi naijua,” amesema Harmo.
Hitmaker huyo wa ‘Kiboko ya Mabishoo’ ameongeza kwa kusema kwamba ataachia wimbo wake mpya mwezi ujao ambao umetayarishwa na...
11 years ago
GPLKUMBUKUMBU YA NGWEA: MGENI RASMI ACHAFUA HALI YA HEWA
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Exclusive gossip: Nuh Mziwanda wa Shilole, ‘achafua’ hali ya hewa kwenye mtandao wa Instagram
Nuh Mziwanda akiwa na mchumba wake, Shilole
..Maneno ya ‘Sadd na Sadness’, ‘Women na Woman’ yamtatizaNa Andrew Chale wa Modewji blog
Huenda hii ikawa ni tabia endelevu kwa baadhi ya mastaa wa Bongo hasa wasanii wa filamu, muziki na watu maalufu kwa kung’ang’ania kuutukuza ‘Umagharibi’, hasa kwa kupenda kutumia lugha ya Kiingereza ambacho mara zote kimekuwa kikiwatoa jacho..
Hivi sasa Nuh Mziwanda ambaye mwenye mahusiano ya uchumba na mwimbaji Shilole ameibua mijadara huku wengi...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
5 years ago
MichuziMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) yatoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa msimu wa kipupwe nchini.
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa wa msimu wa kipupwe nchini, kwa Mwezi Juni hadi Agosti 2020 na kusema kuwa mwaka huu kutakuwa na vipindi vya upepo mkali wa kusi na hali ya ukavu katika maeneo mengi ya nchini.
Pia mamlaka imesema, vipindi vya baridi kali vinatarajiwa kuwepo katika msimu huu katika maeneo ya miinuko ya nyanda za juu kusini magharibi hususan nyakati za usiku na na asubuhi.
Akizungumzia msimu huo,...