Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE, MCHUMBA’KE WAZICHAPA!

Lile penzi lililopata ‘promo’ ya kutosha ndani ya muda mfupi kati ya mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ na Nuh Mziwanda limeingia shubiri baada ya juzikati wawili hao kuzichapa. Kisa cha wawili hao kuzibuana kinadaiwa ni baada ya Nuh kukuta sms tata ya mwanaume kwenye simu ya Shilole ambapo inadaiwa baada ya jamaa huyo kumtaka mchumba wake huyo ampigie aliyetuma meseji hiyo kukawa na kusuasua. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

11 years ago

GPL

MCHUMBA WA SHILOLE AKATALIWA UKWENI

Stori: Musa Mateja, Tabora
OHOOO! Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa ‘ukweni’ kwao, Tabora. Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh…

 

10 years ago

Vijimambo

Shilole Amchapa Kofi Mchumba Wake Nuh Mziwanda

Kwa mujibu wa Gazeti la Marokocho, mwanamziki na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Zuwena Mohammed “Shilole” alimpiga kofi mchuma wake Nuh Mziwanda mbele ya umati wa watu. Gazati la Makolokocho liliripoti kama ifuatavyo;
Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko yao lililofanyika Leaders Club, ilishuhudiwa live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Shilole Amchapa Kofi Mchumba Wake Nuh Mziwanda

Kwa mijibu wa Gazeti la Marokocho, mwanamziki na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, zuwena Mohammed “Shilole” alimpiga makofi mchuma wake Nuh Mziwanda mbele ya umati wa watu. Gazati la Makolokocho liliripoti kama ifuatavyo;

Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni!!

Mwigizaji na mwanamziki,  Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yao inayowaonyesha wakiwa watupu.

Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. Kwa kiufupi picha hii haina maadili na ukizingatia mwanadada Shilole ni mama na sijui watoto wake watajifunza nini hapa.

Wapo walioona kuwa kitendo...

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini


Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam.  Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole

Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.

‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...

 

11 years ago

GPL

MTITU, NIVA WAZICHAPA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Ukisikia paaa! Mastaa vidume wa Bongo Movies, William Mtitu na Zuberi Mohamed ‘Niva’ wanadaiwa kutoelewana na kuzichapa kavukavu kabla ya kuamuliwa na watu waliokuwa nao kwenye mandhari ya kurekodia sinema (location). Mkali wa Bongo Movies, William Mtitu. Kwa mujibu wa sosi wa tukio hilo lililojiri maeneo ya Kijichi jijini Dar, hivi karibuni, kisa cha wawili hao kutupiana...

 

10 years ago

GPL

BODABODA WAZICHAPA KAVUKAVU

Mashaka kisusi
MADEREVA wa bodaboda ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja, wamenaswa wakizichapa kavukavu baada ya mwenzao kuwazidi fedha za malipo yaliyotolewa na abiria wao. Tukio hilo la aina yake lilitokea juzikati majira ya saa 7 mchana maeneo ya stendi wilayani Misungwi mkoani Mwanza ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, bodaboda hao (wawili) walidai mwenzao aliwazunguka kwa kuchukua pesa zaidi kutoka kwa abiria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani