Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTITU, NIVA WAZICHAPA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Ukisikia paaa! Mastaa vidume wa Bongo Movies, William Mtitu na Zuberi Mohamed ‘Niva’ wanadaiwa kutoelewana na kuzichapa kavukavu kabla ya kuamuliwa na watu waliokuwa nao kwenye mandhari ya kurekodia sinema (location). Mkali wa Bongo Movies, William Mtitu. Kwa mujibu wa sosi wa tukio hilo lililojiri maeneo ya Kijichi jijini Dar, hivi karibuni, kisa cha wawili hao kutupiana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Kuambiana Amliza Niva

Zuberi Mohamed ‘Niva’ amesema filamu ya ‘Kipaji Changu’ aliyoigiza na marehemu Adam Kuambiana (Pichani),humtoa machozi kila anapoitazama.

“Kipaji Changu” imetoka  wiki iliyopita lakini filamu hiyo ilichezwa muda mfdupi  kabla ya kufariki kwa Kuambiana Mei Mwaka jana.

Akizungumza swala hilo, Niva alisema “Filamu hii imenipa mawazo ambayo nahisi kama bado kuambiana yupo.”

Chanzo: Nipashe

 

10 years ago

Bongo Movies

Mimi Siyo Marioo — Niva

Mwigizaji wa filamu Zubery Mohamed ‘Niva’ amekanusha kuwa yeye siyo Marioo yaani analelewa na wanawake bali ni jina tu ambalo limetokana na wimbo wake alioufanya na kurekodi.

 “Napata shida sana watu wananiona eti mimi Marioo jina hili nimepewa na mpenzi wangu ambaye simtaji kwa jina lake mimi ni mwanaume ninayejua majukumu yangu wala simtegemei mwanamke yoyote zaidi ya wao kujipendekeza kwangu,”anasema Niva.

Niva anasema kuwa wapo wasanii wanyonge wenye tabia hizo lakini si kwake kwani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ukiona Demu Kulia Sijapiga- Niva

Mwigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu Zuber Mohamed ‘Niva’ ametoa ya mwaka baada ya kusema kuwa upigaji wa picha na wanawake una maana kubwa kwake tofauti na mastaa wengine ambao hawana fomula ujipigia picha tu.

“Kaka ukiona nipiga picha na Demu halafu yupo kulia ujue huyu siyo mwenzangu na sijapiga ni just Friend tu, hila mpenzi wangu lazima nikipiga picha nitamweka mkono wangu wa kushoto na si kulia, elimuhiyo,”anasema Niva.

Niva anaonekana katika picha mbalimbali akiwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Niva Anakesha, Ila Hana Demu

MSANII nyota kwenye tasnia ya filamu nchini, Mohamed Zuberi ‘Niva’ amesema licha ya kupenda kukesha katika klabu za usiku, lakini ‘anashukuru’ hajawahi kuchunwa na wanawake.

Niva ambaye amekuwa akiwakosha mashabiki wa filamu kwa filamu zake, alisema kikubwa zaidi anachokutana nacho ni kushuhudia mateso makubwa waliyonayo wanaume wenye kupenda kuhonga. “Kwa kweli huwa nashangaa jamaa wanaotumia mkwanja kuonga kwa ajili ya mapenzi, inashangaza mno na wanashindwa kufikia malengo yao ya...

 

10 years ago

GPL

NIVA AUANIKA ‘UBAVU’WAKE

Imelda mtema
STAA wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva’ amemuanika mpenzi wake wa sasa aliyemtambulisha kwa jina la Maisala na kuweka bayana kwamba hahitaji tena mwanamke mwingine. Staa wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva akiwa na mpenzi wake. Akizungumza na mwanahabari wetu, Niva alisema alifanya tathimini ya kina na kuamua kutulia na mwanamke huyo kukwepa habari zile za kurukaruka leo huyu kesho...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwigizaji Niva na Ndoto Kubwa Kutoka Katika Muziki

Staa wa filamu Niva ameweka wazi kuwa licha ya kuwepo kwa changamoto kadhaa kufanya muziki akiwa tayari anajulikana kama mwigizaji, amejipanga vizuri na ana malengo makubwa ya kupiga hatua kwa kuziunganisha fani hizo mbili.

Kupitia mahojiano aliyofanya na Eatv.tv, Niva amesema kuwa katika siku za mbeleni kupitia sanaa yake ana mpango wa kufanya mashabiki wake kujipatia nakala ya filamu kila wakiingia katika onesho lake la muziki.

Vile vile staa huyo akaweka wazi uwekezaji mkubwa alioufanya...

 

10 years ago

GPL

BODABODA WAZICHAPA KAVUKAVU

Mashaka kisusi
MADEREVA wa bodaboda ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja, wamenaswa wakizichapa kavukavu baada ya mwenzao kuwazidi fedha za malipo yaliyotolewa na abiria wao. Tukio hilo la aina yake lilitokea juzikati majira ya saa 7 mchana maeneo ya stendi wilayani Misungwi mkoani Mwanza ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, bodaboda hao (wawili) walidai mwenzao aliwazunguka kwa kuchukua pesa zaidi kutoka kwa abiria...

 

10 years ago

GPL

MISS, MUMEWE WAZICHAPA

Na Joseph Ngilisho, Arusha MREMBO Mariam Mohamed ambaye alishiriki na kushika nafasi ya pili ya Shindano la Miss Mara mwaka 2003, wiki iliyopita alizusha vurumai kubwa kwa kuzichapa kavukavu na mumewe usiku baada ya kumkuta akiwa na baamed ndani ya nyumba moja iliyopo Njiro eneo linalojulikana kama Nguzo Moja jijini Arusha, Amani lina mkanda kamili.  Mrembo Mariam Mohamed akizichapa kavukavu na mumewe, Rasha Idrisa (38). ...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WA MUVI WAZICHAPA WAKIDAIWA...

Stori: hamida hassan na gladness mallya Imevuja! Mastaa wawili wa kike Bongo Muvi, Vivian Minja na Najma wanadaiwa kutoleana maneno machafu kisha kuzichapa kavukavu chanzo kikidaiwa eti walikuwa wakimgombea Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movies, Steven Mengere. Staa wa kike Bongo Muvi, Najma akiwa pembeni ya JB. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Vivian na Najma walifanya yao kwenye hafla ya chakula cha usiku waliyokuwa wamealikwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani