Hayati Mwalim Nyerere akimzungumzia kukataliwa kwa Edward Lowassa katika...
![](http://img.youtube.com/vi/pGq8KulVrEk/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s72-c/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s1600/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI WAALIKWA:
Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:
Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi...
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Nini hasa ni kivutio katika mji aliozaliwa hayati Mwl. Julius K Nyerere?
Butiama ni mji uliopo kaskazini mwa Tanzania, katika wilaya ya Musoma mkoa wa Mara. Mahala hapa ndipo alipozaliwa Rais wa Kwanza wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(Baba wa Taifa), ambapo leo ni siku ya kukumbuku ya kifo chake (13 April 1922-14 Octoba 1999)
Kijiji hiki kina historia Kubwa ambapo leo imekuwa siku muhimu ya kukumbuka mahala alipozaliwa shujaa wa Tanzania aliyepelekea uhuru na umoja wa nchi yetu.
Ndani ya kijiji cha Butiama kuna vingi...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/c8adcYnIulQ/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-C_75EIH6Bs4/ViBCPgbzZcI/AAAAAAAAWfk/Zei4guAAE5Y/s72-c/OTH_4108.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw-g4gpNLXc/VimHFBC_T_I/AAAAAAAAWw4/nY-XjDgsb88/s72-c/OTH_8454.jpg)
9 years ago
Vijimambo01 Sep
MASWALI KWA MHE. EDWARD LOWASSA
![Waziri wa zamani wa Elimu, Joseph Mungai](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2852224/highRes/1105440/-/maxw/600/-/u1kiwe/-/mungai+iringa.jpg)
Bwana Luke kama hutajali naomba ubandike haya mawazo yangu.
jina langu ni Tom
Nimesoma katika gazeti la mwananchi la leo ambalo lili mnukuu mgombea urais kupitia Ukawa Ndugu Edward Lowassa alipokuwa akihutubia huko Iringa akiwaahidi watanzania elimu ya bure kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu kuanzia January mwakani 2016. Zaidi aliahidi kulipa madai yote ya Walimu na wafanyakazi wengine wa serikali ambapo haya ni mabilioni ya pesa. Huyu...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...