Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hausigeli afa kwa kunywa sumu

MFANYAKAZI wa ndani aliyetambuliwa kwa jina la Debora Makenda (18), amekufa baada ya kunywa sumu, ambayo ni dawa ya kuoshea mifugo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dada’ afa kwa kunywa dawa ya mifugo

MFANYAKAZI wa ndani, Debora Makanda (18), mkazi wa jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kunywa dawa ya kuoshea mifugo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura,...

 

10 years ago

Habarileo

8 hoi kwa kunywa maziwa yenye sumu

WATU wanane wa familia tatu tofauti, wakiwemo wanafunzi wa shule ya msingi, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malkia wa Ulimwengu Puma wilayani Ikungi mkoani hapa baada ya kunywa maziwa yanayodhaniwa kuwa na sumu.

 

10 years ago

CloudsFM

WATU 270 WALAZWA KWA KUNYWA TOGWA ILIYOSADIKIWA KUWA NA SUMU

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.

Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha...

 

10 years ago

GPL

KISA BWANA, PENNY ADAIWA KUNYWA SUMU

Stori: MWANDISHI WETU/Risasi
MTANGAZAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amedaiwa kunywa sumu kufuatia kunyang’anywa bwana na shosti yake aliyefahamika kwa jina la Diana. Mtangazaji maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa… ...

 

9 years ago

Mtanzania

89 hoi kwa kunywa juisi harusini

Na Editha Karlo, Kigoma

WAKAZI 89 wa Kijiji cha Rugunga, Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo, baada ya kunywa juisi ya kienyeji inayosadikiwa kuwa na sumu wakati wa sherehe ya harusi.

Tukio hilo limetokea Septemba 6, mwaka huu, baada ya watu hao kunywa juisi na kula chakula kilichoandaliwa katika sherehe hiyo.

Baada ya muda mfupi, waalikwa hao walianza kuumwa matumbo na kuharisha mfululizo hali iliyofanya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 74 wafariki kwa kunywa pombe India

Wakaazi wa eneo la maskini la mjini Mumbai, India, wanaomboleza baada ya watu kadhaa kufa kutokana na pombe iliyokuwa na sumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wafa kwa kunywa gongo India

Watu 25 wamekufa katika mji wa Mumbai nchini India kutokana na kunywa pombe haramu aina ya gongo

 

11 years ago

GPL

KAHAWA, CHAI: KUNYWA LAKINI KWA UANGALIFU!

Nijamii halisi ya dawa. Ukinywa kahawa wakati umechoka, baada ya dakika tano uchovu wote huisha. Ila, unatakiwa unywe kahawa kwa  nadra kwa kuwa kahawa pamoja na vinywaji vyote vyenye ‘Caffeine’ ni ulevi ambao ukiuendekeza huweza kuwa ‘teja’ wa vinywaji hivyo (addicted). Kahawa iliyoandaliwa tayari kwa kunywewa. Kahawa ndiyo yenye kiwango kikubwa cha ‘Caffeine’ kuliko vinywaji vingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani