Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


8 hoi kwa kunywa maziwa yenye sumu

WATU wanane wa familia tatu tofauti, wakiwemo wanafunzi wa shule ya msingi, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malkia wa Ulimwengu Puma wilayani Ikungi mkoani hapa baada ya kunywa maziwa yanayodhaniwa kuwa na sumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

89 hoi kwa kunywa juisi harusini

Na Editha Karlo, Kigoma

WAKAZI 89 wa Kijiji cha Rugunga, Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo, baada ya kunywa juisi ya kienyeji inayosadikiwa kuwa na sumu wakati wa sherehe ya harusi.

Tukio hilo limetokea Septemba 6, mwaka huu, baada ya watu hao kunywa juisi na kula chakula kilichoandaliwa katika sherehe hiyo.

Baada ya muda mfupi, waalikwa hao walianza kuumwa matumbo na kuharisha mfululizo hali iliyofanya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya...

 

11 years ago

Habarileo

Hausigeli afa kwa kunywa sumu

MFANYAKAZI wa ndani aliyetambuliwa kwa jina la Debora Makenda (18), amekufa baada ya kunywa sumu, ambayo ni dawa ya kuoshea mifugo.

 

10 years ago

CloudsFM

WATU 270 WALAZWA KWA KUNYWA TOGWA ILIYOSADIKIWA KUWA NA SUMU

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.

Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kumtumia Obama barua yenye sumu

Muigizaji mwanamke aliyemtumia Rais Barack Obama barua iliyokuwa na sumu ya Ricin nchini Marekani amefungwa jela kwa miaka 18.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Watanzania wavivu kunywa maziwa’

Kila Mtanzania anatakiwa kunywa lita 200 za maziwa na siyo 46 za sasa kwa mwaka mmoja ili kuondoa sumu mwilini na kujenga afya imara, ilielezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Washauriwa kunywa maziwa ya mbuzi

WATANZANIA wameshauriwa kujenga tabia ya kunywa maziwa ya mbuzi, kutokana na kuwa maziwa hayo, yana ubora na ni mazuri kutumiwa hasa kwa watoto, wazee na wagonjwa wa vidonda vya tumbo wakiwemo wenye virusi vya Ukimwi.

 

10 years ago

GPL

VIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90

Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…

 

9 years ago

StarTV

Watu watano walazwa hospitali ya Mbuyula Mbinga kwa Unywaji wa Togwa Yenye Sumu

Watu watano wamelazwa katika hospitali ya Mbuyula wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kunywa togwa inayodhaniwa kuwa na sumu.

Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula Elisha Robert amesema wagonjwa hao ambao waliletwa hospitalini hapo wakidhaniwa kuwa wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu walibainika kuwa wamekunywa kinywaji aina ya Togwa ambacho kimesababisha waharishe.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula wilaya ya Mbinga  Elisha Robati amesma aliweza kugundua kuwa homa hiyo ya...

 

10 years ago

GPL

KISA BWANA, PENNY ADAIWA KUNYWA SUMU

Stori: MWANDISHI WETU/Risasi
MTANGAZAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amedaiwa kunywa sumu kufuatia kunyang’anywa bwana na shosti yake aliyefahamika kwa jina la Diana. Mtangazaji maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani