Jela kwa kumtumia Obama barua yenye sumu
Muigizaji mwanamke aliyemtumia Rais Barack Obama barua iliyokuwa na sumu ya Ricin nchini Marekani amefungwa jela kwa miaka 18.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Jan
8 hoi kwa kunywa maziwa yenye sumu
WATU wanane wa familia tatu tofauti, wakiwemo wanafunzi wa shule ya msingi, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malkia wa Ulimwengu Puma wilayani Ikungi mkoani hapa baada ya kunywa maziwa yanayodhaniwa kuwa na sumu.
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
9 years ago
StarTV23 Nov
Watu watano walazwa hospitali ya Mbuyula Mbinga kwa Unywaji wa Togwa Yenye Sumu
Watu watano wamelazwa katika hospitali ya Mbuyula wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kunywa togwa inayodhaniwa kuwa na sumu.
Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula Elisha Robert amesema wagonjwa hao ambao waliletwa hospitalini hapo wakidhaniwa kuwa wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu walibainika kuwa wamekunywa kinywaji aina ya Togwa ambacho kimesababisha waharishe.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula wilaya ya Mbinga Elisha Robati amesma aliweza kugundua kuwa homa hiyo ya...
11 years ago
BBCSwahili07 May
Pombe yenye sumu yawaua 76 Kenya
10 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Ripoti ya sampuli ya togwa yenye sumu bado’
9 years ago
Bongo506 Oct
Barua ya Tupac aliyoandika akiwa jela mwaka 1995 kuuzwa sh milioni 491
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVINrzAhkWKaRntEC83GbRdZPRybxDQB7am7bu4rIqLQH2hqdPqYTJy4vEBPNR5ktI5w6msXmVRhqGrnN62HM5Q/jk.jpg)
ASIMAMISHWA KAZI KWA KUMTUMIA JK ‘MESEJI’
10 years ago
Bongo Movies14 Aug
"Kimenuka kwa Diamond" Mashabiki wa Wema wamtaka aache 'kumtumia' Wema kibiashara.
Kundi la watu wanaojiita mashabiki wa Wema Sepetu, limeanzisha kampeni kwenye mtandao mmoja wa maarufu wa kijamii kampeni iliyopewa jina la #BringBackOurWema likimshinikiza mpenzi wake Diamond Platnumz amrudishe kwenye maisha yake ya zamani na kukuza career yake ya filamu.
Mashabiki hao wanaamini kuwa Diamond anampoteza Wema na amekuwa akitumia umaarufu wake (Wema) kujidhatiti zaidi yeye huku Miss Tanzania huyo wa zamani akiendelea kudidimia.
Hivi ndivyo maelezo...