‘Dada’ afa kwa kunywa dawa ya mifugo
MFANYAKAZI wa ndani, Debora Makanda (18), mkazi wa jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kunywa dawa ya kuoshea mifugo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Feb
Hausigeli afa kwa kunywa sumu
MFANYAKAZI wa ndani aliyetambuliwa kwa jina la Debora Makenda (18), amekufa baada ya kunywa sumu, ambayo ni dawa ya kuoshea mifugo.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi
MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Wafugaji, wauza dawa za mifugo wafundwa
ZAIDI ya wafugaji 300 na wafanyabiashara wa maduka ya dawa za kilimo na mifugo, wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho vinavyotolewa na Kampuni...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0wKk8nRDSK8/VYE8VxFRmgI/AAAAAAABQT0/8tYL2mnu0_I/s72-c/IMG_8689.jpg)
BANZA STONE YUKO HOI, HAZUNGUMZI, AMEGOMA KULA CHAKULA NA KUNYWA DAWA, WASANII WENGI WAMEMTENGA — MAMA MZAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0wKk8nRDSK8/VYE8VxFRmgI/AAAAAAABQT0/8tYL2mnu0_I/s640/IMG_8689.jpg)
Akiongea na Ripoti ya kipindi cha Ubaoni cha EFM juzi, mama huyo alisema hadi siku hiyo Banza alikuwa amegoma kula kwa siku tatu mfululizo.Aliongea kuwa pamoja na kuugua hivyo bado wasanii wenzake wameshindwa kwenda kumjulia hali.“Mpaka sasa sijamuona mtu yeyote aliyekuja kumshughulikia na kumwangalia, wamemwacha hivi hivi. Na mimi siwezi kuwalaumu...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
89 hoi kwa kunywa juisi harusini
Na Editha Karlo, Kigoma
WAKAZI 89 wa Kijiji cha Rugunga, Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo, baada ya kunywa juisi ya kienyeji inayosadikiwa kuwa na sumu wakati wa sherehe ya harusi.
Tukio hilo limetokea Septemba 6, mwaka huu, baada ya watu hao kunywa juisi na kula chakula kilichoandaliwa katika sherehe hiyo.
Baada ya muda mfupi, waalikwa hao walianza kuumwa matumbo na kuharisha mfululizo hali iliyofanya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya...
10 years ago
Habarileo07 Jan
8 hoi kwa kunywa maziwa yenye sumu
WATU wanane wa familia tatu tofauti, wakiwemo wanafunzi wa shule ya msingi, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malkia wa Ulimwengu Puma wilayani Ikungi mkoani hapa baada ya kunywa maziwa yanayodhaniwa kuwa na sumu.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Watu 25 wafa kwa kunywa gongo India
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75oGimXCRKhmAMUc-IhnhfP3EtmrgA9-eyIb2wBCtBnpn2nhKK-39t7Pt6jW8RGcUD6yvNsufUAWsmtEWFcGa-nO/KAHAWA.jpg)
KAHAWA, CHAI: KUNYWA LAKINI KWA UANGALIFU!