Wafugaji, wauza dawa za mifugo wafundwa
ZAIDI ya wafugaji 300 na wafanyabiashara wa maduka ya dawa za kilimo na mifugo, wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho vinavyotolewa na Kampuni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Wafugaji wapinga Sheria ya Mifugo
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wafugaji watakiwa kuzalisha mifugo bora
SERIKALI imewataka wafugaji kuzalisha mifugo bora na kuivuna kwa wakati, ili kukidhi mahitaji ya viwanda vya kusindika nyama vilivyopo. Wito huo ulitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mendeleo ya...
9 years ago
Habarileo19 Sep
Wafugaji wazuiwa kuingiza mifugo Selous
JAMII ya wafugaji waliopo katika kijiji cha Chengena, kata ya Luchili, wilayani Namtumbo, mkoani Ruvuma wametakiwa kuacha kuingiza mifugo yao na kufanya shughuli nyingine za kibinadamu katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Selous kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Wafugaji mkoani Mara wageuka kuwa madaktari wa mifugo
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Wafugaji wazuiwa kuogesha mifugo yao Mto Malagarasi
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pGq72_lBLn8/VgiHEYIm_uI/AAAAAAAH7fs/qJPjQUpIFV0/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
WAFUGAJI CHALINZE SOMESHENI WATOTO, WASICHUNGE MIFUGO - RIDHIWANI
10 years ago
MichuziWAFUGAJI WALIOVAMIA ENEO LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOA MIFUGO YAO
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Umasikini wa wafugaji ni kuthamini idadi ya mifugo kuliko fedha, mali
9 years ago
StarTV15 Dec
Wafugaji Wilayani Serengeti waiomba serikali kuwarejeshea Eneo La Kuchungia Mifugo yao
Wafugaji wa vijii vinavyopakana na Hifadhi ya Serengeti katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wameiomba Serikali kuwarejeshea eneo la Kawanga walilokuwa wanalitumia kuchungia mifugo yao, ambalo lilichukuliwa na Serikali na kumpatia mwekezaji bila ya wao kushirikishwa.
Wakitoa kero zao kwa mbunge wa Jimo la Bunda, Boniphace Mwita, wakazi wa vijiji hivyo wameiomba Serikali kuwadhibiti wanyama aina ya Tembo, wanaotoka katika Hifadhi ya Serengeti ambao wamekuwa kero kubwa kutokana na kuvamia...