Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umasikini wa wafugaji ni kuthamini idadi ya mifugo kuliko fedha, mali

Inashangaza kuona kuwa Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo ya asili, lakini wafugaji wengi wanaishi maisha duni. Serikali imeshindwa pia kupata kikamilifu matunda ya kuwapo kwa rasilimali hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Tumieni mifugo kuondoa umasikini’

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.WAJASIRIAMALI Kanda ya Ziwa wametakiwa kutumia wataalamu wa halmashauri na fursa ya kuwepo mifugo na mazao ya kilimo kwa wingi katika mikoa yao kusindika, kuuza na kuondokana na tatizo la umasikini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji wapinga Sheria ya Mifugo

Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kimeipinga sheria mpya ya utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo iliyozinduliwa na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, kikidai ni kandamizi na itasababishwa wanyanyaswe na kufilisiwa mifugo yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji, wauza dawa za mifugo wafundwa

ZAIDI ya wafugaji 300 na wafanyabiashara wa maduka ya dawa za kilimo na mifugo, wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho vinavyotolewa na Kampuni...

 

9 years ago

Habarileo

Wafugaji wazuiwa kuingiza mifugo Selous

JAMII ya wafugaji waliopo katika kijiji cha Chengena, kata ya Luchili, wilayani Namtumbo, mkoani Ruvuma wametakiwa kuacha kuingiza mifugo yao na kufanya shughuli nyingine za kibinadamu katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Selous kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji watakiwa kuzalisha mifugo bora

SERIKALI imewataka wafugaji kuzalisha mifugo bora na kuivuna kwa wakati, ili kukidhi mahitaji ya viwanda vya kusindika nyama vilivyopo. Wito huo ulitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mendeleo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji mkoani Mara wageuka kuwa madaktari wa mifugo

Upungufu wa wataalamu wa mifugo umekuwa ukisababisha wafugaji kuingia hasara kubwa wakati yanapozuka magonjwa na pia mifugo kutokuwa na thamani inayotakiwa kutokana na kukosa ushauri sahihi kutoka kwa wataalamu.

 

9 years ago

Michuzi

WAFUGAJI CHALINZE SOMESHENI WATOTO, WASICHUNGE MIFUGO - RIDHIWANI

Na John Gagarini, Chalinze WAZAZI wa watoto wa wafugaji kwenye Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo wametakiwa kuachana na tabia ya kuwafanya watoto wao kuwa wachungaji wa mifugo huku wakikosa haki ya kupata elimu. Hayo yalisemwa kwenye na Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete Mazizi kata ya Msata wakati wa mkutano wa kampeni na kusema kuwa baadhi ya wazazi wa watoto wa wafugaji wanaendeleza utamaduni wa kutowapeleka watoto wao shule na kuwaacha...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafugaji wazuiwa kuogesha mifugo yao Mto Malagarasi

Wafugaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoa wa Kigoma, wametakiwa kuacha tabia ya kuogesha mifugo katika vyanzo vya maji vilivyopo kwenye halmashauri hiyo, hususani Mto Malagarasi ili kutunza vyanzo hivyo.

 

10 years ago

Michuzi

WAFUGAJI WALIOVAMIA ENEO LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOA MIFUGO YAO

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akifungua bomba la maji kuashiria uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji katika Kata ya Olosokwani, Loliondo wilayani Ngorongoro, juzi. Mradi huo umefadhiliwa na Serikali ya Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imewekeza wilayani humo. Uzinduzi huo pia ulihudhuriwa na Balozi wa UAE nchini Tanzania, Mbarouk Nassor Mbarouk.
 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akijindaa kumtwisha ndoo ya maji mkazi wa Kata ya Olosokwani, ambako alizindua mradi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani