Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi

MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Huyu mwizi atufunze kukamata wezi

Niwe mkweli; nilichukia sana kwa wezi na matapeli kupachikwa a.k.a. ya “wasanii”. Niliona wazi jinsi mbunifu mwenye uwezo wa kutafsiri ujumbe unaotoka kwenye ubongo hata ukasomeka na watu wa rika zote, anavyopewa hadhi sawa na mjinga asiyejua kutafuta riziki kwa njia halali. Ni tusi kubwa lisilomithilika kwa lugha yoyote duniani, hata akhera!

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dada’ afa kwa kunywa dawa ya mifugo

MFANYAKAZI wa ndani, Debora Makanda (18), mkazi wa jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kunywa dawa ya kuoshea mifugo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura,...

 

11 years ago

GPL

IMAMU ANUSURIKA KIFO KWA WIZI WA ‘KITIMOTO’

IMAMU mmoja ambaye hakufahamika jina lake wa msikiti wa Kisesa Jijini Mwanza, amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na Waislam wenzake akiwa kituo cha polisi Kisesa anaposhikiliwa kwa wizi wa nguruwe ‘kitimoto’. Waislam hao walivamia kituo cha polisi  baada ya kupata taarifa za Imamu huyo kudaiwa kuiba nguruwe ambaye anajua ni najisi kwenye dini ya Kiislam. ...

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto mgonjwa anusurika kifo kwa kipigo cha mfanyakazi

MTOTO wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha huko Uganda.

 

11 years ago

GPL

CHRIS BROWN ANUSURIKA KIFO, SUGE KNIGHT AKIJERUHIWA KWA RISASI

Cris Brown akiwa Klabu 1OAK kabla ya vurugu kutokea. Prodyuza mkongwe, Suge Knight amejeruhiwa tumboni na mkononi katika shambulio hilo. MWIMBAJI Cris Brown amenusurika kuuawa katika shambulio la risasi ndani ya klabu ya usiku jijini Los Angeles ambapo prodyuza Suge Knight amejeruhiwa. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo katika klabu ya usiku iitwayo 1OAK iliyopo magharibi mwa Hollywood wakati wa… ...

 

11 years ago

Michuzi

SUMATRA YAWATAKA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KUKAMATA MABASI YANAYOSIMAMA KUCHIMBA DAWA OVYO PORINI

          Mwanasheria mkuu  wa  SUMATRA Bi Leticia Mutaki  Bw  Mpina wa Sumatra  makao  makuu  akifafanua  jambo wakati wa semina elekezi  kwa askari wa usalama barabarani Watenda kazi  wa Sumatra  Iringa  wakiwa na mwanahabari wa TBC Taifa  Iren Mwakalinga  kulia  wakifuatilia  semina  hiyo.
..................................................... ASKARI  wa usalama barabarani  nchini  wamepewa  rungu  la kuwakamata  madereva  wa mabasi ya abiria na magari mengine  ambayo yatapatikana...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilali awashukia wezi wa dawa

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal ameiagiza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikana na Polisi kufanya msako endelevu ili kuwabaini wezi wa dawa za serikali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawa ya wezi wa pembejeo yaja

HATIMAYE dawa ya kukomesha mawakala wabadhirifu wa pembejeo za kilimo nchini imekamilika kwa kutungwa sheria ya pembejeo nchini. Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Usambazaji wa Pembejeo za Kilimo kutoka Wizara...

 

11 years ago

Habarileo

Wezi wa dawa hospitali ya mkoa watimuliwa

UONGOZI wa Hospitali ya Mkoa wa Rukwa, umewachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya wataalamu wa afya wasio waaminifu na waadilifu wanaotuhumiwa kujihusisha na hujuma za wizi wa dawa katika hospitali ya mkoa, mjini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani