Wezi wa dawa hospitali ya mkoa watimuliwa
UONGOZI wa Hospitali ya Mkoa wa Rukwa, umewachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya wataalamu wa afya wasio waaminifu na waadilifu wanaotuhumiwa kujihusisha na hujuma za wizi wa dawa katika hospitali ya mkoa, mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mkoa wa Dodoma kuzindua mradi wa kukabiliana na upungufu wa dawa katika hospitali na zahanati kesho
Na Mwandishi wa MAELEZO, Dodoma
Mkoa wa Dodoma unatarajia kuzindua Mradi wa Kuboresha na kuimarisha mfumo wa uuzaji na usambazaji wa dawa katika wilaya zote.
Hatua hiyo inalenga kuboresha na Kuimarisha Mfumo wa Afya ili kukabiliana na upungufu wa huduma za dawa katika Hospitali ,Vituo vya Afya na Zahanati katika Mkoa wote wa Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo mjini Dodoma chini ya Mradi wa Tuimarishe Afya wa Uswis na Tanzania , duka mmoja la dawa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ld1-OWeqWYU/Xqa0CNkr0CI/AAAAAAALoUU/PWyN-g6l4VsLNErdy8lXPAWlZO2l4uazgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200423-WA0034.jpg)
DUKA LA DAWA HOSPITALI YA BAGAMOYO LASAIDIA UPATIKANAJI WA DAWA KIRAHISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ld1-OWeqWYU/Xqa0CNkr0CI/AAAAAAALoUU/PWyN-g6l4VsLNErdy8lXPAWlZO2l4uazgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200423-WA0034.jpg)
Duka hilo lililoanzishwa kwa mtaji wa sh.milioni 4, walianza kununua dawa muhimu na za lazima kwa wateja wa Bima.
Hayo yalielezwa na Mganga Mkuu wa wilaya (DMO) Dk. Aziz Msuya mbele ya viongozi wa halmashauri ya...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Dk Bilali awashukia wezi wa dawa
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Dawa ya wezi wa pembejeo yaja
HATIMAYE dawa ya kukomesha mawakala wabadhirifu wa pembejeo za kilimo nchini imekamilika kwa kutungwa sheria ya pembejeo nchini. Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Usambazaji wa Pembejeo za Kilimo kutoka Wizara...
10 years ago
Habarileo20 Jan
Nchemba ampa rungu DC kuwakamata wezi wa dawa
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Morogoro kufanyia uchunguzi suala la upungufu wa dawa hospitalini kubaini wanaohusika na uchotaji wachukuliwe hatua.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi
MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jpFC0iTzfdY/VmaqRu5fqaI/AAAAAAAIK38/NVjl0Rox_gI/s72-c/e5cf66ab-3923-4961-bdaa-b48b06852339.jpg)
UVCCM MKOA WA KIGOMA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA MKOA NA KUWAFARIJI WAGONJWA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jpFC0iTzfdY/VmaqRu5fqaI/AAAAAAAIK38/NVjl0Rox_gI/s640/e5cf66ab-3923-4961-bdaa-b48b06852339.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mvc-3icAZAk/VmarEN-5pkI/AAAAAAAIK4E/OvJG2qAwGHo/s640/a883893d-f55e-4a03-b71f-85723bcaa691.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UO1N4D63ppk/VmaqPpfLtKI/AAAAAAAIK3o/aaKuloGMKWQ/s640/2e3c668c-4df6-44b4-9438-fb519fb89b79.jpg)
Mbunge wa viti maalum kupitia umoja wa vijana Zainabu Katibu akiwafariji watoto waliolazwa katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma
Na Editha Karlo wa blog ya jamii, KigomaUmoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma(UVCCM) wamefanya usafi katika hospitali ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) sambamba na kuwafariji wagonjwa waliolazwa katika wodi mbalimbali hospitalini hapo.
Akiongea na waandishi wa habari...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”