Nchemba ampa rungu DC kuwakamata wezi wa dawa
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Morogoro kufanyia uchunguzi suala la upungufu wa dawa hospitalini kubaini wanaohusika na uchotaji wachukuliwe hatua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Manji sasa ampa rungu Maximo
10 years ago
Vijimambo30 Nov
10 years ago
VijimamboMWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.
Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)
Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Dawa ya wezi wa pembejeo yaja
HATIMAYE dawa ya kukomesha mawakala wabadhirifu wa pembejeo za kilimo nchini imekamilika kwa kutungwa sheria ya pembejeo nchini. Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Usambazaji wa Pembejeo za Kilimo kutoka Wizara...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Dk Bilali awashukia wezi wa dawa
11 years ago
Habarileo22 Jun
Wezi wa dawa hospitali ya mkoa watimuliwa
UONGOZI wa Hospitali ya Mkoa wa Rukwa, umewachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya wataalamu wa afya wasio waaminifu na waadilifu wanaotuhumiwa kujihusisha na hujuma za wizi wa dawa katika hospitali ya mkoa, mjini hapa.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi
MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...