MWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.
Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)
Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Nov
10 years ago
Dewji Blog25 May
VIDEO: Nape akitangaza kujiuzulu kwa Mwigulu Nchemba
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (Itikadi na Uenezi), Nape Nnauye.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqu3RoKHty-0uI7Poy7UcX21P4uPoUvbamgmpivXoP8Y1hj*jm4X1eKvLkVxATf6gsNNOlRvq1NUixo*SzxROrD/cludi.jpg)
CLOUD: WEZI WA FILAMU WAFUNGWE MIAKA 10
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Viongozi kujiuzulu pekee haitoshi
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Kila kona wataka ‘watuhumiwa’ escrow wafilisiwe
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Mmiliki wa IPTL atema cheche
10 years ago
Habarileo20 Jan
Nchemba ampa rungu DC kuwakamata wezi wa dawa
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Morogoro kufanyia uchunguzi suala la upungufu wa dawa hospitalini kubaini wanaohusika na uchotaji wachukuliwe hatua.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uEN0ud5qVLA/VWIdxsTctZI/AAAAAAAAuUA/ZL8q_-IjSL0/s72-c/Mwigulu%2BNchemba.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/cn7O0hxlU4Y/default.jpg)