Huyu mwizi atufunze kukamata wezi
Niwe mkweli; nilichukia sana kwa wezi na matapeli kupachikwa a.k.a. ya “wasaniiâ€. Niliona wazi jinsi mbunifu mwenye uwezo wa kutafsiri ujumbe unaotoka kwenye ubongo hata ukasomeka na watu wa rika zote, anavyopewa hadhi sawa na mjinga asiyejua kutafuta riziki kwa njia halali. Ni tusi kubwa lisilomithilika kwa lugha yoyote duniani, hata akhera!
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi
MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Sumatra kukamata wasio na leseni
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Trafiki afa baada ya kukamata daladala
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jmb0wmjh1KI/XladdFLquwI/AAAAAAAEF0s/nftzfVw2lqAGlfCUesg5GJMXdyTZM9WTgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC01532-1024x577.jpg)
KATAVI YAFANIKIWA KUKAMATA SILAHA HARAMU 50
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jmb0wmjh1KI/XladdFLquwI/AAAAAAAEF0s/nftzfVw2lqAGlfCUesg5GJMXdyTZM9WTgCLcBGAsYHQ/s640/DSC01532-1024x577.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC01524AA-1024x577.jpg)
……………………………………………………………Serikali ya Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi kikosi cha 202 na 401 wamefanikiwa kukamata Bunduki 50 zikiwemo 13 za kivita na tatu zilizotengenezewa nchi za ulaya aina ya G3 kufutia masako uliofanywa kwa muda wa siku 21 katika...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
SUMATRA yaendesha operesheni kukamata bajaj
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefanya operesheni ya kukamata bajaj zinazoingia katikakati ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Leseni...
10 years ago
Habarileo02 Jul
JK aomba ushirikiano kukamata wauaji wa Rwanda
RAIS Jakaya Kikwete amezitaka nchi zote duniani zenye taarifa za watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambao hawajakamatwa, kutoa ushirikiano ili watu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya kimataifa vya sheria.