Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUMATRA yaendesha operesheni kukamata bajaj

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefanya operesheni ya kukamata bajaj  zinazoingia katikakati ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Leseni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sumatra kukamata wasio na leseni

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imepanga kuanza Operesheni Maalumu ya kukamata magari ya abiria yasiyokuwa na leseni kwa Kanda ya Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akimsalimia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile wakati alipowasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliitaka Idara hiyo ya Uhamiaji kuanz rasmi kwa operesheni ya kuwakamata Wahamiaji Haramu nchini. Picha zote na...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akimsalimia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile wakati alipowasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliitaka Idara hiyo ya Uhamiaji kuanz rasmi kwa operesheni ya kuwakamata Wahamiaji Haramu nchini.Waziri wa Mambo ya Ndani...

 

11 years ago

Michuzi

SUMATRA YAWATAKA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KUKAMATA MABASI YANAYOSIMAMA KUCHIMBA DAWA OVYO PORINI

          Mwanasheria mkuu  wa  SUMATRA Bi Leticia Mutaki  Bw  Mpina wa Sumatra  makao  makuu  akifafanua  jambo wakati wa semina elekezi  kwa askari wa usalama barabarani Watenda kazi  wa Sumatra  Iringa  wakiwa na mwanahabari wa TBC Taifa  Iren Mwakalinga  kulia  wakifuatilia  semina  hiyo.
..................................................... ASKARI  wa usalama barabarani  nchini  wamepewa  rungu  la kuwakamata  madereva  wa mabasi ya abiria na magari mengine  ambayo yatapatikana...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Kikoa cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, wakati alipofika Wilayani humo kwa ziara ya kikazi. Simbachawene amepiga marufuku ukamataji wa wananchi, bodaboda pamoja na kufanya operesheni ya aina yoyote kwa kukurupuka bila kufuata utaratibu, hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani badala ya kujenga amani.. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

5 years ago

Michuzi

KATAVI YAFANIKIWA KUKAMATA SILAHA HARAMU 50

Kamanda wa operesheni ya safisha Katumba 2020; kanali Evance Mallasa akionyesha moja ya silaha zilizokamtwa Mzigo wa silaha zilizokamatwa katika makazi ya mishamo na katumba wanapoishi raia wapya wa Tanzania wenye asili ya Burundi 
……………………………………………………………Serikali ya Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi kikosi cha 202 na 401 wamefanikiwa kukamata Bunduki 50 zikiwemo 13 za kivita na tatu zilizotengenezewa nchi za ulaya aina ya G3 kufutia masako uliofanywa kwa muda wa siku 21 katika...

 

10 years ago

Habarileo

JK aomba ushirikiano kukamata wauaji wa Rwanda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amezitaka nchi zote duniani zenye taarifa za watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambao hawajakamatwa, kutoa ushirikiano ili watu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya kimataifa vya sheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Huyu mwizi atufunze kukamata wezi

Niwe mkweli; nilichukia sana kwa wezi na matapeli kupachikwa a.k.a. ya “wasanii”. Niliona wazi jinsi mbunifu mwenye uwezo wa kutafsiri ujumbe unaotoka kwenye ubongo hata ukasomeka na watu wa rika zote, anavyopewa hadhi sawa na mjinga asiyejua kutafuta riziki kwa njia halali. Ni tusi kubwa lisilomithilika kwa lugha yoyote duniani, hata akhera!

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki afa baada ya kukamata daladala

Ofisa wa polisi mwenye cheo cha Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa amelikamata.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani