Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI KITWANGA ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akimsalimia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile wakati alipowasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliitaka Idara hiyo ya Uhamiaji kuanz rasmi kwa operesheni ya kuwakamata Wahamiaji Haramu nchini. Picha zote na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akimsalimia Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile wakati alipowasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliitaka Idara hiyo ya Uhamiaji kuanz rasmi kwa operesheni ya kuwakamata Wahamiaji Haramu nchini.Waziri wa Mambo ya Ndani...

 

11 years ago

Mwananchi

Operesheni wahamiaji haramu imeishia wapi?

Operesheni ya kuwakamata wahamiaji haramu iliyofanyika nchi nzima mwishoni mwa mwaka jana ilionyesha mafanikio makubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu waokolewa nchini Sudan

Mamia ya wahamiaji haramu wamewasili katika mji wa kazkazni mwa Sudan,Dongola baada ya kuokolewa katika jangwa.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Kikoa cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, wakati alipofika Wilayani humo kwa ziara ya kikazi. Simbachawene amepiga marufuku ukamataji wa wananchi, bodaboda pamoja na kufanya operesheni ya aina yoyote kwa kukurupuka bila kufuata utaratibu, hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani badala ya kujenga amani.. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA yaendesha operesheni kukamata bajaj

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefanya operesheni ya kukamata bajaj  zinazoingia katikakati ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Leseni...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.

 Watu  waliokamatwa kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria  Afisa uhamiaji mkoa wa Dodoma Ally Haji Amil  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma SACP David Misime.
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga akifungua rasmi semina kuhusu matumizi ya gesi asilia iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.Balozi wa Japan Tanzania, Masaki Okada akizungumza na wadau na wataalamu wa gesi asilia (hawapo pichani) waliohudhuria semina ya matumizi ya gesi asilia iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Serena ya jijini Dar es Salaam.Wataalamu na wadau wa gesi asilia kutoka Japan na Tanzania wakimsikiliza Naibu Waziri wa...

 

5 years ago

Michuzi

KATAVI YAFANIKIWA KUKAMATA SILAHA HARAMU 50

Kamanda wa operesheni ya safisha Katumba 2020; kanali Evance Mallasa akionyesha moja ya silaha zilizokamtwa Mzigo wa silaha zilizokamatwa katika makazi ya mishamo na katumba wanapoishi raia wapya wa Tanzania wenye asili ya Burundi 
……………………………………………………………Serikali ya Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi kikosi cha 202 na 401 wamefanikiwa kukamata Bunduki 50 zikiwemo 13 za kivita na tatu zilizotengenezewa nchi za ulaya aina ya G3 kufutia masako uliofanywa kwa muda wa siku 21 katika...

 

11 years ago

Michuzi

IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.

Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake

Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji Mbeya. Habari na picha
na Mbeya yetu.---------------------------- IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisinin kwake  Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani