Wahamiaji haramu waokolewa nchini Sudan
Mamia ya wahamiaji haramu wamewasili katika mji wa kazkazni mwa Sudan,Dongola baada ya kuokolewa katika jangwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi23 Dec
WAZIRI KITWANGA ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uh1.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Wahamiaji 2000 waokolewa baharini
Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya
Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.
10 years ago
BBCSwahili20 May
Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa
Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s72-c/unnamed+(59).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcFTJYCeRdk/UwR22Y-BxWI/AAAAAAAFN7E/GLm9CGeJqto/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x-qdOG-2Thw/UwR22WLwZLI/AAAAAAAFN7M/dBSmHZ3IvuI/s1600/unnamed+(61).jpg)
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Wahamiaji 600 waokolewa na wavuvi Indonesia
Zaidi ya wahamiaji mia sita wamewasili katika mkoa wa Aceh nchini Indonesia baada ya kuokolewa na wavuvi mashua yao ilipokuwa ikizama.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzecIgTq01SXaXikG2BQZ8nAwu5qVVjkOtNE6z2YG9Mmetv4QYsV-qWkX6cK4OeV-oGHIlxtdcrdzhJZKijdYM9/1.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA
Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AY5n-P37pIWNIEX1GdRWTmrZ00-LUs16X3bkJsRtbFOh*JoeZr9iDuaVnTdAvv0eOkJ94UaAdw3PCw-y67CAk2jpbGWJIkBc/01.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 2000 WAOKOLEWA KATIKA BAHARI YA MEDITERRANIAN
Wahamiaji wakiwa kwenye boti ndogo kabla ya kuokolewa. Walinzi wa pwani ya Italia wameongoza shughuli ya kuwaokoa wahamiaji 2,000 ambao walituma ishara ya kuwa taabani kwenye mashua nje ya pwani ya Libya. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Bahari baina ya Libya na Italia, ndio njia inayotumiwa kwa muda mrefu na wakimbizi kutoka Afrika na Mashariki ya Kati, ili kuingia Ulaya.Umoja wa Mataifa umesema kuwa bahari ya Mediterranian...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania