Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa

Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA

Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 2000 waokolewa baharini

Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waokolewa pwani ya Ulaya

Wahamiaji zaidi ya 300 wameokolewa kutoka pwani ya bahari nchini Italia na Ugiriki katika matukio tofauti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 600 waokolewa na wavuvi Indonesia

Zaidi ya wahamiaji mia sita wamewasili katika mkoa wa Aceh nchini Indonesia baada ya kuokolewa na wavuvi mashua yao ilipokuwa ikizama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu waokolewa nchini Sudan

Mamia ya wahamiaji haramu wamewasili katika mji wa kazkazni mwa Sudan,Dongola baada ya kuokolewa katika jangwa.

 

9 years ago

GPL

WAHAMIAJI 2000 WAOKOLEWA KATIKA BAHARI YA MEDITERRANIAN

Wahamiaji wakiwa kwenye boti ndogo kabla ya kuokolewa. Walinzi wa pwani ya Italia wameongoza shughuli ya kuwaokoa wahamiaji 2,000 ambao walituma ishara ya kuwa taabani kwenye mashua nje ya pwani ya Libya. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Bahari baina ya Libya na Italia, ndio njia inayotumiwa kwa muda mrefu na wakimbizi kutoka Afrika na Mashariki ya Kati, ili kuingia Ulaya.Umoja wa Mataifa umesema kuwa bahari ya Mediterranian...

 

9 years ago

BBCSwahili

EU kuzuia meli za wahamiaji baharini

EU imeanzisha operesheni inayohusisha kuzuiwa kwa meli zinazowasafirisha wahamiaji wanaotaka kufika Ulaya bahari ya Mediterranean.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakwama baharini bila chakula

Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia

Zaidi ya wahamiaji haramu 650 wanahofiwa kufariki dunia katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama, katika matukio mawili tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani