Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji wakwama baharini bila chakula

Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi 8000 wakwama baharini

Shirika la kimataifa la wahamiaji IOM, linasema kuwa maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladesh na Myanmar, wamekwama baharini

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakwama mpakani

Wahamiaji wamekwama katika eneo la mpaka kati ya Hungary na Serbia

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 2000 waokolewa baharini

Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa

Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini

 

9 years ago

BBCSwahili

EU kuzuia meli za wahamiaji baharini

EU imeanzisha operesheni inayohusisha kuzuiwa kwa meli zinazowasafirisha wahamiaji wanaotaka kufika Ulaya bahari ya Mediterranean.

 

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA

Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…

 

10 years ago

Mwananchi

Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia

Zaidi ya wahamiaji haramu 650 wanahofiwa kufariki dunia katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama, katika matukio mawili tofauti.

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.

 Watu  waliokamatwa kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria  Afisa uhamiaji mkoa wa Dodoma Ally Haji Amil  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma SACP David Misime.
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAFUNZI 48 WA CHUO CHA KILIMO NICE DREAM WATELEKEZWA SIKU TANO BILA YA CHAKULA NA CHUO HAKIJASAJIRIWA MBEYA.


Chuo hiki kilizinduliwa mwaka huu na Mh .Frederick Sumaye Waziri mkuu Mstaafu



Moja kati ya mwanachuo aliyezirai kwa njaa akiinuliwa na wasamaria wema kwenda mpatia chakula


Moja kati ya mabweni ya chuo hicho ambapo hulala chini wanafunzi kati ya 10 mapaka 15 kweli taasisi zinazihusika na ukaguzi wa vyuo hivi zipooo?



Hapa wanachuo hao wakipata uji baada ya msamaria mwema kuwapatia uji huo

Wakipata chakula cha mchana baada ya wananchi wa ilemi kuchangia chakula

Baadhi ya wanachama wa chadema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani