Wahamiaji wakwama baharini bila chakula
Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 May
Wakimbizi 8000 wakwama baharini
Shirika la kimataifa la wahamiaji IOM, linasema kuwa maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladesh na Myanmar, wamekwama baharini
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Wahamiaji 2000 waokolewa baharini
Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya
10 years ago
BBCSwahili20 May
Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa
Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
EU kuzuia meli za wahamiaji baharini
EU imeanzisha operesheni inayohusisha kuzuiwa kwa meli zinazowasafirisha wahamiaji wanaotaka kufika Ulaya bahari ya Mediterranean.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzecIgTq01SXaXikG2BQZ8nAwu5qVVjkOtNE6z2YG9Mmetv4QYsV-qWkX6cK4OeV-oGHIlxtdcrdzhJZKijdYM9/1.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA
Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia
Zaidi ya wahamiaji haramu 650 wanahofiwa kufariki dunia katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama, katika matukio mawili tofauti.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s72-c/unnamed+(59).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AnTHWe3tBrU/UwR22MoDq6I/AAAAAAAFN7A/GpMOnlTBweQ/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcFTJYCeRdk/UwR22Y-BxWI/AAAAAAAFN7E/GLm9CGeJqto/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x-qdOG-2Thw/UwR22WLwZLI/AAAAAAAFN7M/dBSmHZ3IvuI/s1600/unnamed+(61).jpg)
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI 48 WA CHUO CHA KILIMO NICE DREAM WATELEKEZWA SIKU TANO BILA YA CHAKULA NA CHUO HAKIJASAJIRIWA MBEYA.
Chuo hiki kilizinduliwa mwaka huu na Mh .Frederick Sumaye Waziri mkuu Mstaafu
Moja kati ya mwanachuo aliyezirai kwa njaa akiinuliwa na wasamaria wema kwenda mpatia chakula
Moja kati ya mabweni ya chuo hicho ambapo hulala chini wanafunzi kati ya 10 mapaka 15 kweli taasisi zinazihusika na ukaguzi wa vyuo hivi zipooo?
Hapa wanachuo hao wakipata uji baada ya msamaria mwema kuwapatia uji huo
Wakipata chakula cha mchana baada ya wananchi wa ilemi kuchangia chakula
Baadhi ya wanachama wa chadema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania