Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia

Zaidi ya wahamiaji haramu 650 wanahofiwa kufariki dunia katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama, katika matukio mawili tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 20 zaidi wazama Mediterenian

Shirika la IOM lasema limepokea ujumbe wa dharura kutoka kwa meli iliyokuwa ikizama na wahamiaji 300 katika bahari ya Mediterranean

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu 40 wazama Yemen

Serikali ya Yemen imesema zaidi ya wahamiaji 40 wa Kiafrika wamezama baada ya mashua yao kuzama pwani ya Kusini mwa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

''Afadhali kufariki baharini badala ya kuishi Libya''

Hivyo ndivyo alivyoniambia Christina mwenye umri wa miaka 24 wakati yeye na mumewe Samuel walipotolewa katika boti ya MSF iliyowaokoa, zaidi ni kuwa ni mja mzito.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa

Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini

 

9 years ago

BBCSwahili

EU kuzuia meli za wahamiaji baharini

EU imeanzisha operesheni inayohusisha kuzuiwa kwa meli zinazowasafirisha wahamiaji wanaotaka kufika Ulaya bahari ya Mediterranean.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 2000 waokolewa baharini

Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya

 

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA

Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakwama baharini bila chakula

Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.

 

11 years ago

GPL

AGONGWA NA KUFARIKI DUNIA HAPOHAPO

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Meshak John Lusito amegongwa na gari na kufariki dunia leo eneo la Gezaulole, Kigamboni Dar, aliyemgonga amekimbia na gari lake na inasemekana ni  kiongozi! (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +255 753 715 779)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani