Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia
Zaidi ya wahamiaji haramu 650 wanahofiwa kufariki dunia katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama, katika matukio mawili tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Wahamiaji 20 zaidi wazama Mediterenian
Shirika la IOM lasema limepokea ujumbe wa dharura kutoka kwa meli iliyokuwa ikizama na wahamiaji 300 katika bahari ya Mediterranean
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wahamiaji haramu 40 wazama Yemen
Serikali ya Yemen imesema zaidi ya wahamiaji 40 wa Kiafrika wamezama baada ya mashua yao kuzama pwani ya Kusini mwa nchi hiyo
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
''Afadhali kufariki baharini badala ya kuishi Libya''
Hivyo ndivyo alivyoniambia Christina mwenye umri wa miaka 24 wakati yeye na mumewe Samuel walipotolewa katika boti ya MSF iliyowaokoa, zaidi ni kuwa ni mja mzito.
10 years ago
BBCSwahili20 May
Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa
Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
EU kuzuia meli za wahamiaji baharini
EU imeanzisha operesheni inayohusisha kuzuiwa kwa meli zinazowasafirisha wahamiaji wanaotaka kufika Ulaya bahari ya Mediterranean.
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Wahamiaji 2000 waokolewa baharini
Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzecIgTq01SXaXikG2BQZ8nAwu5qVVjkOtNE6z2YG9Mmetv4QYsV-qWkX6cK4OeV-oGHIlxtdcrdzhJZKijdYM9/1.jpg?width=650)
WAHAMIAJI 7000 WALIOKWAMA BAHARINI WAOKOLEWA
Wahamiaji wa Nymnar na Bangladesh waliokwama baharini kwa wiki kadhaa sasa. Baadhi ya wahamiaji waliookolewa. Wawakilishi wa mataifa matatu ya bara Asia walipokutana mapema leo…
10 years ago
BBCSwahili12 May
Wahamiaji wakwama baharini bila chakula
Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDBVHH3XfIAjRNd9sBPXm3Ax9Nb4zN26T4tpQmtBZCgX5sZTYMBKQE8ofk5YP6OpTPLH9l-cwWwdDGLvn5JQIpw/ajalinoma.jpg)
AGONGWA NA KUFARIKI DUNIA HAPOHAPO
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Meshak John Lusito amegongwa na gari na kufariki dunia leo eneo la Gezaulole, Kigamboni Dar, aliyemgonga amekimbia na gari lake na inasemekana ni kiongozi! (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +255 753 715 779)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania