''Afadhali kufariki baharini badala ya kuishi Libya''
Hivyo ndivyo alivyoniambia Christina mwenye umri wa miaka 24 wakati yeye na mumewe Samuel walipotolewa katika boti ya MSF iliyowaokoa, zaidi ni kuwa ni mja mzito.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Wahamiaji 650 wazama baharini na kufariki dunia
Zaidi ya wahamiaji haramu 650 wanahofiwa kufariki dunia katika Bahari ya Mediterranean baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama, katika matukio mawili tofauti.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kajala.jpg?width=650)
KAJALA: AFADHALI UCHAGUZI UMEFIKA
Imelda mtema STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja, amefunguka kuwa anamshukuru Mungu uchaguzi umefika kitu ambacho alikuwa akikiomba usiku na mchana. Akizungumza na gazeti hili, Kajala alisema katika kipindi chote cha vuguvugu la uchaguzi kuna vitu vingi vililala kutokana na kila mmoja macho,masikio,akili na hata mawazo vilikuwa ni uchaguzi hivyo kushindwa kufanya chochote. “Namshukuru Mungu huu uchaguzi umefika maana...
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Obama:'Bhangi ni afadhali kuliko Pombe'
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa kuvuta Marijuana au Bhangi, sio hatari ikilinganishwa na Pombe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Td1Z7312tSt2GE8O6HZ2w6lsWydDWZGJDnhqvUWw*eoqrhlzm-rdyn4rA9lcPjKAKs4BBUdcz32S7sE6ytqq7Q/mahaba.jpg)
KUNA AFADHALI UKIMFUMANIA MUMEO NA DEMU MZURI KULIKO WEWE
WIVU ni neno lililosheheni maana nyingi kwenye maisha ya kila siku. Mtu anaweza kukasirishwa na mafanikio ya mwingine, huo pia ni wivu.Lakini ile tabia ya mwenza kutoka kimapenzi na mwingine, wengine wanaita usaliti ni wivu mkubwa zaidi na unagharimu maisha ya wengi duniani. Zipo kumbukumbu zinazoonesha kwamba, mamilioni ya watu wamepoteza maisha kutokana na kukutwa au lugha rahisi kufumaniwa na wenye wenza wao. Kuna wenza...
10 years ago
Bongo512 Nov
Afadhali: Sasa unaweza kurekebisha/kuedit caption kwenye Instagram
Kwa muda mrefu watumiaji wa Instagram wamekuwa wakishindwa kurekebisha (kuedit) caption wanazoweka kwenye picha wanazopost kwenye Instagram. Matokeo yake ni kuwa baadhi ya picha hizo tumekuwa tukiziona zikiwa na maelezo yaliyokosewa na mtumiaji kushindwa kufanya chochote. Instagram sasa imeongeza kifaa cha kuedit maelezo. Updates mpya ya app hiyo kwenye iOS na Android inawapa watumiaji uwezo […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4yuBck*u2bug9sDUOjVnTT6c5WhwsKoZx7kCWH2QDstESBCGWbKCbJJm-D7nDQgn0dF-zqg6EwDxq**B-F-9SQ*/mahaba.jpg)
KUNA AFADHALI UKIMFUMANIA MUMEO NA DEMU MZURI KULIKO ANAYEPAKA WANJA WA 'SINA BWANA' -2
MPENDWA msomaji, wiki iliyopita katika mada yetu ya Kuna afadhali ya kumfumania mumeo na demu mzuri kuliko anayepaka wanja wa ‘sina bwana?’ tuliishia kwa simulizi ya dada Mwanaidi Mkwazu, mkazi wa jijini Dar ambaye alisema kwa upande wake iliwahi kumtokea alimfumania mume wake akiwa na demu bomba. TUJIKUMBUSHE
“Nilipenda awe amenizidi maana kama nitakuwa nimemzidi nitamshangaa sana mume wangu. Kufika kweli...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycTwMb97OCElQnb8SFzzQYDKodNYrUB1gsvtpSNJAe-*erWUeR9ZjZIamcGVzJIkhN-x1dfbjMp*q6MXny3AQLTM/1.jpg)
VOLCANO JAPAN: 30 WAHOFIWA KUFARIKI
Moshi kutoka katika mlipuko wa volcano uliotokea jana kwenye Mlima Ontake, Japan. Jivu la volcano likiwa limefunika nyumba zilizo jirani na mlima huo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDBVHH3XfIAjRNd9sBPXm3Ax9Nb4zN26T4tpQmtBZCgX5sZTYMBKQE8ofk5YP6OpTPLH9l-cwWwdDGLvn5JQIpw/ajalinoma.jpg)
AGONGWA NA KUFARIKI DUNIA HAPOHAPO
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Meshak John Lusito amegongwa na gari na kufariki dunia leo eneo la Gezaulole, Kigamboni Dar, aliyemgonga amekimbia na gari lake na inasemekana ni kiongozi! (PICHA NA GLOBAL WhatsApp +255 753 715 779)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania