VOLCANO JAPAN: 30 WAHOFIWA KUFARIKI
![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycTwMb97OCElQnb8SFzzQYDKodNYrUB1gsvtpSNJAe-*erWUeR9ZjZIamcGVzJIkhN-x1dfbjMp*q6MXny3AQLTM/1.jpg)
Moshi kutoka katika mlipuko wa volcano uliotokea jana kwenye Mlima Ontake, Japan. Jivu la volcano likiwa limefunika nyumba zilizo jirani na mlima huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Volcano yalipuka Chile
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79222000/jpg/_79222096_79222024.jpg)
Cape Verde evacuation over volcano
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79453000/jpg/_79453280_79452285.jpg)
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Hofu ya volcano yatanda Mlima Meru
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
WAKAZI wa Jiji la Arusha jana walikumbwa na hofu kubwa, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni volcano kulipuka Mlima Meru.
Hali hiyo ilisababisha wingu zito la vumbi kutanda angani huku wakazi wa vijiji vinavyozunguka mlima wakikimbia maeneo yao. Wingu hilo lililotanda angani lilianza kuonekana saa 9 alasiri upande wa Kaskazini mwa Mlima Meru kisha kuendelea kusambaa hadi juu ya kilele cha mlima huo.
MTANZANIA lilishuhudia vumbi hilo likielekea upande wa Kaskazini mwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s72-c/2-987340de94.jpg)
Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan
![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s1600/2-987340de94.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79225000/jpg/_79225921_79223625.jpg)
VIDEO: Volcano erupts on Cape Verde island
10 years ago
StarTV15 Feb
Wananchi waishio pembezoni watahadharishwa juu ya Volcano.
Na Magesa Magesa,
Arusha.
Wananchi wanaoishi pembezo mwa mlima Meru mkoani Arusha wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa viashiria vya kulipuka kwa volcano katika mlima huo.
Tahadhari hiyo imetolewa na wadau wa utekelezaji wa mradi wa kimataifa wa kudhibiti majanga unaotekelezwa katika nchi zaidi ya mia moja duniani ikiwemo Tanzania ambapo inaelezwa kuwa Mlima Meru una volcano ambayo miaka ya nyuma iliwahi kulipuka na sasa upo uwezekano ikalipuka tena kwa miaka...
10 years ago
Habarileo12 Jan
7 wahofiwa kufa maji Kigoma
WATU saba wanahofiwa kufa maji na wengine 49 wameokolewa kutokana baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba katika eneo la vijiji vya mwambao wa kusini wa Ziwa Tanganyika.
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Wawili wahofiwa kufa Tamasha la E. FM