Volcano yalipuka Chile
Volcano aina ya Calbuco imelipuka kwa muda mfupi huko Chile ikiwa ni mara ya kwanza ndani ya zaidi ya miaka 40.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Volkeno yalipuka Chile
9 years ago
Habarileo01 Nov
Mabomu yalipuka Zanzibar
MABOMU mawili yanayosadikiwa kuwa yalitegwa na watu wasiojulikana, yamelipuka yenyewe na kuzua taharuki kubwa katika eneo la Michenzani mjini hapa. Kamanda wa Kikosi cha Operesheni na Mafunzo cha Jeshi la Polisi Zanzibar, Juma Yussuf alithibitisha jana kulipuka kwa mabomu hayo.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Mabomu mawili yalipuka Libya
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Roketi ya Marekani ya Antares yalipuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycTwMb97OCElQnb8SFzzQYDKodNYrUB1gsvtpSNJAe-*erWUeR9ZjZIamcGVzJIkhN-x1dfbjMp*q6MXny3AQLTM/1.jpg)
VOLCANO JAPAN: 30 WAHOFIWA KUFARIKI
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79453000/jpg/_79453280_79452285.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79222000/jpg/_79222096_79222024.jpg)
Cape Verde evacuation over volcano
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Hofu ya volcano yatanda Mlima Meru
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
WAKAZI wa Jiji la Arusha jana walikumbwa na hofu kubwa, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni volcano kulipuka Mlima Meru.
Hali hiyo ilisababisha wingu zito la vumbi kutanda angani huku wakazi wa vijiji vinavyozunguka mlima wakikimbia maeneo yao. Wingu hilo lililotanda angani lilianza kuonekana saa 9 alasiri upande wa Kaskazini mwa Mlima Meru kisha kuendelea kusambaa hadi juu ya kilele cha mlima huo.
MTANZANIA lilishuhudia vumbi hilo likielekea upande wa Kaskazini mwa...