Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Volkeno yalipuka Chile

Volkeno mmoja huko Chile imelipuka ikitupa makaa ya moto na Jivu. Mlima Villarrica ilianza kulipuka jana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Volcano yalipuka Chile

Volcano aina ya Calbuco imelipuka kwa muda mfupi huko Chile ikiwa ni mara ya kwanza ndani ya zaidi ya miaka 40.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wahamisha kutokana na mlipuko wa volkeno-Java

Watu 200 wamehamishwa kutoka makwao kisiwani Java Nchini Indonesia, baada ya milipuko miwili ya volkeno kuutikisa mlima wa Kelud

 

9 years ago

Habarileo

Mabomu yalipuka Zanzibar

MABOMU mawili yanayosadikiwa kuwa yalitegwa na watu wasiojulikana, yamelipuka yenyewe na kuzua taharuki kubwa katika eneo la Michenzani mjini hapa. Kamanda wa Kikosi cha Operesheni na Mafunzo cha Jeshi la Polisi Zanzibar, Juma Yussuf alithibitisha jana kulipuka kwa mabomu hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabomu mawili yalipuka Libya

Mabomu mawili ya kutegwa ndani magari yamelipuliwa , moja karibu na ubalozi wa Misri na jingine karibu na ubalozi wa milki za kiarabu .

 

10 years ago

BBCSwahili

Roketi ya Marekani ya Antares yalipuka

Roketi Antares ya Marekani imelipuka wakati ikiruka kuelekea kituo cha kimataifa cha anga za juu

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukrain yalipuka ghasia zikisambaa

Maandamano yamepamba moto Ukraine serikali isijue la kufanya

 

10 years ago

GPL

ROKETI YALIPUKA WAKATI WA KUPAA NCHINI MAREKANI

Roketi Antares ikilipuka. Taswira baada ya mlipuko huo.…

 

11 years ago

GPL

MALORI YAGONGANA, YALIPUKA ENEO LA MIKESE MORO

TAARIFA zilizotufikia hivi punde kutoka Morogoro ni kwamba malori mawili yamegongana eneo la Mikese mkoani humo na kulipuka moto ambapo mojawapo ya lori lilikuwa na shehena ya mafuta! Mpaka sasa malori hayo yanaendelea kuteketea kwa moto. Taarifa zaidi na picha za tukio hili vitawajia punde!

 

11 years ago

GPL

CHILE YAILAZA AUSTRALIA 3-1

Chile wakishangilia bao lao la pili lililofungwa na Jorge Valdivia dakika ya 14 ya kipindi cha kwanza. Alexis Sanchez (kulia) ambaye pia anaichezea Barcelona, akishangilia bao la kwanza aliloifungia Chile dhidi ya Australia.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani