MALORI YAGONGANA, YALIPUKA ENEO LA MIKESE MORO

TAARIFA zilizotufikia hivi punde kutoka Morogoro ni kwamba malori mawili yamegongana eneo la Mikese mkoani humo na kulipuka moto ambapo mojawapo ya lori lilikuwa na shehena ya mafuta! Mpaka sasa malori hayo yanaendelea kuteketea kwa moto. Taarifa zaidi na picha za tukio hili vitawajia punde!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
YANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
11 years ago
GPL
BODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO
11 years ago
Michuzi.jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPL5 years ago
Michuzi
JAFO AMTAKA RC MORO KUSIMAMISHA MCHAKATO WA UUZWAJI WA ENEO KILOSA




11 years ago
GPL
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
10 years ago
Habarileo01 Nov
Mabomu yalipuka Zanzibar
MABOMU mawili yanayosadikiwa kuwa yalitegwa na watu wasiojulikana, yamelipuka yenyewe na kuzua taharuki kubwa katika eneo la Michenzani mjini hapa. Kamanda wa Kikosi cha Operesheni na Mafunzo cha Jeshi la Polisi Zanzibar, Juma Yussuf alithibitisha jana kulipuka kwa mabomu hayo.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Volkeno yalipuka Chile
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Volcano yalipuka Chile