MALORI YAGONGANA, YALIPUKA ENEO LA MIKESE MORO
TAARIFA zilizotufikia hivi punde kutoka Morogoro ni kwamba malori mawili yamegongana eneo la Mikese mkoani humo na kulipuka moto ambapo mojawapo ya lori lilikuwa na shehena ya mafuta! Mpaka sasa malori hayo yanaendelea kuteketea kwa moto. Taarifa zaidi na picha za tukio hili vitawajia punde!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLYANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
11 years ago
GPLBODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO
11 years ago
Michuziajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
Hakuna cha kufanyika kutokana na moto mkubwa na moshi mwingi wakati magari hayo yakiteketea Mlipuko mkubwa wakati matenki ya mafuta yakilipuka Askari wa kikosi cha zimamoto wakijaribu kuuzima moto...
11 years ago
GPL5 years ago
MichuziJAFO AMTAKA RC MORO KUSIMAMISHA MCHAKATO WA UUZWAJI WA ENEO KILOSA
11 years ago
GPLUBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
9 years ago
Habarileo01 Nov
Mabomu yalipuka Zanzibar
MABOMU mawili yanayosadikiwa kuwa yalitegwa na watu wasiojulikana, yamelipuka yenyewe na kuzua taharuki kubwa katika eneo la Michenzani mjini hapa. Kamanda wa Kikosi cha Operesheni na Mafunzo cha Jeshi la Polisi Zanzibar, Juma Yussuf alithibitisha jana kulipuka kwa mabomu hayo.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Volkeno yalipuka Chile
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Volcano yalipuka Chile