YANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Kikosi cha Yanga SC kimepata ajali baada ya basi lao kutumbukia mtaroni katika eneo la Mikese mkoani Morogoro. Basi hilo limepata ajali likitokea mkoani Morogoro kwenda Dar es Salaam baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro jana. Taarifa zinasema hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa kwenye ajali hiyo. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL11 years ago
Michuzi17 Mar
YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO
![Image](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/pcpgK4AGpnUNIAYbEMApuErJlSgcky6lP6mm2bjgYKPGXrV2MWKOgSKgi7j83RzULELOcBvtFd5B0DoULC__UUL9Yza0eElCioIk_iqJEwgXD36OVGpp=s0-d-e1-ft#http://larrybway91.files.wordpress.com/2014/03/yanga11.jpeg?w=441)
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa wa Mtibwa katika dimba la Jamhuri mjini Morogoro na matokeo kuwa suluhu ya 0-0.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Msafara wa RC Moro wapata ajali, meya na waandishi waumia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MALORI YAGONGANA, YALIPUKA ENEO LA MIKESE MORO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3tO5Ie398Qc/UyhG-R4VJuI/AAAAAAAFUiE/DehAB55wWp0/s72-c/image.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ:TUKIO LA AJALI MIKESE HIVI PUNDE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3tO5Ie398Qc/UyhG-R4VJuI/AAAAAAAFUiE/DehAB55wWp0/s1600/image.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Kxo8dNzMEB4/UyhG_kDU3II/AAAAAAAFUiU/5rsX72CDhTc/s1600/image_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iPRh6qd3ulE/UyhG-yTUC7I/AAAAAAAFUiI/7fvAw4dTa34/s1600/image_2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5ee7rK-CZzE/UyhHQ8IgFgI/AAAAAAAFUik/AUzC2al2UfY/s1600/image_4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5g-jQw4a12g/UyhHTVEJwOI/AAAAAAAFUis/3t7ZkpWVlh0/s1600/image_5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s72-c/unnamed+(12).jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ENufK_Znbc/UwnODm3WRsI/AAAAAAAFO_4/cQKAhtjRcWw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YjmKlrMa2QI/UwnODnBCPzI/AAAAAAAFO_0/JJWrh-qZ394/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVwC4cHKNO4/UwnOEBqTe1I/AAAAAAAFPAI/jIqRq_rRzPI/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA MIKESE ILIYOUA DEREVA WA LORI LA MAFUTA
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Yanga wanusurika kifo Mikese