Yanga wanusurika kifo Mikese
Wachezaji na viongozi wa Yanga SC wamenusurika kifo baada ya basi lao kuacha njia na kutumbukia mtaroni eneo la Mikese majira ya saa 3:30 asubuhi wakati wakitoka Morogoro kuelekea Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
YANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
11 years ago
Michuzi17 Mar
YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO
![Image](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/pcpgK4AGpnUNIAYbEMApuErJlSgcky6lP6mm2bjgYKPGXrV2MWKOgSKgi7j83RzULELOcBvtFd5B0DoULC__UUL9Yza0eElCioIk_iqJEwgXD36OVGpp=s0-d-e1-ft#http://larrybway91.files.wordpress.com/2014/03/yanga11.jpeg?w=441)
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa wa Mtibwa katika dimba la Jamhuri mjini Morogoro na matokeo kuwa suluhu ya 0-0.
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wanafunzi 70 wanusurika kifo
WANAFUNZI 70 katika Shule ya Msingi ya Filbertbay iliyopo Kwamatiasi wilayani Kibaha, Pwani, wamenusurika kifo baada ya moto mkubwa kuzuka ghafla katika bweni pamoja na majengo mengine ya shule hiyo. Tukio...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Wawili wanusurika kifo USA
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi wanusurika kifo
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
BAADHI ya wasimamizi wa uchaguzi wilayani Meru, Mkoa wa Arusha, wamenusurika kuchomwa moto ndani ya gari lao baada ya kundi la vijana kutilia shaka gari lao wakidhani limebeba kura za wizi.
Tukio hilo lililowashtua wasimamizi hao na kujikuta wakiwa hawana la kufanya mikononi mwa kundi la vijana hao, lilitokea katika Kata ya Embaseni, wilayani hapa juzi, kati ya saa tatu na saa nne asubuhi.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema vijana hao walilitilia shaka gari...
9 years ago
Mtanzania04 Sep
P Square wanusurika kifo Nigeria
LAGOS, Nigeria
NYOTA wa muziki nchini Nigeria, mapacha wanaounda kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. wamenusurika kifo jana baada ya gari lao kugongana na lori la mizigo.
Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Lagos, ambapo wasanii hao walikuwa katika gari aina ya Range Rover Sport SUV, lakini hata hivyo hali za wasanii hao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu.
“Tunaamini Mungu yupo nasi kila wakati, ilikuwa ni ajali mbaya, ingeweza kutuondolea maisha yetu, lakini tunamshukuru Mungu...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Makada CCM wanusurika kifo
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Abiria 29 wanusurika kifo Moro
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika
WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...