Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga wanusurika kifo Mikese

Wachezaji na viongozi wa Yanga SC wamenusurika kifo baada ya basi lao kuacha njia na kutumbukia mtaroni eneo la Mikese majira ya saa 3:30 asubuhi wakati wakitoka Morogoro kuelekea Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO

Kikosi cha Yanga SC kimepata ajali baada ya basi lao kutumbukia mtaroni katika eneo la Mikese mkoani Morogoro. Basi hilo limepata ajali likitokea mkoani Morogoro kwenda Dar es Salaam baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro jana. Taarifa zinasema hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa kwenye ajali hiyo. ...

 

11 years ago

Michuzi

YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO

Image Wachezaji wa Yanga wakiwa na viongozi wao wamenusurika kupata ajali mbaya jana  asubuhi  eneo la Mikese baada ya basi lao kuingia mtaroni walipokuwa wakisafiri kutokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa wa Mtibwa katika dimba la   Jamhuri mjini Morogoro na matokeo kuwa suluhu ya 0-0.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi 70 wanusurika kifo

WANAFUNZI 70 katika Shule ya Msingi ya Filbertbay iliyopo Kwamatiasi wilayani Kibaha, Pwani, wamenusurika kifo baada ya moto mkubwa kuzuka ghafla katika bweni pamoja na majengo mengine ya shule hiyo. Tukio...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wawili wanusurika kifo USA

Wasafisha madirisha wawili mjini New York wanabahati ya kipekee kuepuka kifo baada ya jukwaa walilolitumia kusimama kuvunjika.

 

9 years ago

Mtanzania

Wasimamizi wa uchaguzi wanusurika kifo

NA JANETH MUSHI, ARUSHA

BAADHI ya wasimamizi wa uchaguzi wilayani Meru, Mkoa wa Arusha, wamenusurika kuchomwa moto ndani ya gari lao baada ya kundi la vijana kutilia shaka gari lao wakidhani limebeba kura za wizi.

Tukio hilo lililowashtua wasimamizi hao na kujikuta wakiwa hawana la kufanya mikononi mwa kundi la vijana hao, lilitokea katika Kata ya Embaseni, wilayani hapa juzi, kati ya saa tatu na saa nne asubuhi.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema vijana hao walilitilia shaka gari...

 

9 years ago

Mtanzania

P Square wanusurika kifo Nigeria

P-squareLAGOS, Nigeria

NYOTA wa muziki nchini Nigeria, mapacha wanaounda kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. wamenusurika kifo jana baada ya gari lao kugongana na lori la mizigo.

Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Lagos, ambapo wasanii hao walikuwa katika gari aina ya Range Rover Sport SUV, lakini hata hivyo hali za wasanii hao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu.

“Tunaamini Mungu yupo nasi kila wakati, ilikuwa ni ajali mbaya, ingeweza kutuondolea maisha yetu, lakini tunamshukuru Mungu...

 

11 years ago

Mwananchi

Makada CCM wanusurika kifo

Makada saba wa CCM, wakiwamo makatibu wawili wa wilaya, wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakilitumia kusambaza vitambulisho vya mawakala kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga,kupinduka.

 

11 years ago

Mwananchi

Abiria 29 wanusurika kifo Moro

 Abiria 29 wa mabasi mawili tofauti wamejeruhiwa na kunusurika kifo katika ajali zilizotokea eneo la Mikese na Mkambarani Wilaya ya Morogoro Barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam juzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika

WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani