YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO
Wachezaji wa Yanga wakiwa na viongozi wao wamenusurika kupata ajali mbaya jana asubuhi eneo la Mikese baada ya basi lao kuingia mtaroni walipokuwa wakisafiri kutokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa wa Mtibwa katika dimba la Jamhuri mjini Morogoro na matokeo kuwa suluhu ya 0-0.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s72-c/unnamed+(12).jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ENufK_Znbc/UwnODm3WRsI/AAAAAAAFO_4/cQKAhtjRcWw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YjmKlrMa2QI/UwnODnBCPzI/AAAAAAAFO_0/JJWrh-qZ394/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVwC4cHKNO4/UwnOEBqTe1I/AAAAAAAFPAI/jIqRq_rRzPI/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
YANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
Kikosi cha Yanga SC kimepata ajali baada ya basi lao kutumbukia mtaroni katika eneo la Mikese mkoani Morogoro. Basi hilo limepata ajali likitokea mkoani Morogoro kwenda Dar es Salaam baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro jana. Taarifa zinasema hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa kwenye ajali hiyo. ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s72-c/IMG-20150409-WA0036.jpg)
MABASI YAPATA AJALI TANGA NA MOROGORO NA KUUWA WATU KADHAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s640/IMG-20150409-WA0036.jpg)
Inaelezwa kuwa basi la Ratco lilgongana kwanza na gari dogo na kisha kwenda kugongana uso kwa uso na basi la Ngorika...
10 years ago
VijimamboWALIOFARIKI KATIKA AJALI WAZIKWA PAMOJA MKOANI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s72-c/IMG_2739.jpg)
WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s1600/IMG_2739.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QQYDC-p7-xg/UwolsnS-dNI/AAAAAAAFPH8/aG9VArAdxsk/s72-c/89a90f24db76215e88c7ed88c120e6db.jpg)
DKT. MAGUFULI ATEMBELEA LA MAGARI YALIYOTEKETEA KWA MOTO MIKESE, MOROGORO LEO
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli amesafiri akitokea Mkoani Dodoma anakohudhuria Vikao vya Bunge la Katiba na kwenda moja kwa moja Morogoro maeneo ya Mikese (Kilomita kumi kutoka Mzani wa Mikese kuelekea Dar), ambapo magari mawili yaligongana na kuteketea kwa moto na kusababisha kifo cha mtu mmoja alietambulika kwa jina la Moud Amin.
Ajali hiyo ambayo imetokea mapema leo ilifunga barabara yote ya Dar - Morogoro, takribani kwa masaa zaidi ya mawili na kusababisha foleni kubwa ya...
Ajali hiyo ambayo imetokea mapema leo ilifunga barabara yote ya Dar - Morogoro, takribani kwa masaa zaidi ya mawili na kusababisha foleni kubwa ya...
10 years ago
GPLYANGA YAINOA POLISI MORO 1-0 UWANJA WA JAMHURI MKOANI MOROGORO
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akipongezwa na mwenzake baada ya kuifungia timu yake bao pekee dhidi ya Polisi Moro jana. Danny Mrwanda (kati) akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Polisi Moro.…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s72-c/IMG-20140507-WA0011.jpg)
BREAKING NYUZZZ: BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI JIONI HII ENEO LA MIKUMI MKOANI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCeElB2m2-o/U2o9nFb7EjI/AAAAAAAFgIg/5y9GqXYnS48/s1600/IMG-20140507-WA0011.jpg)
TAARIFA KAMILI ITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania