DKT. MAGUFULI ATEMBELEA LA MAGARI YALIYOTEKETEA KWA MOTO MIKESE, MOROGORO LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-QQYDC-p7-xg/UwolsnS-dNI/AAAAAAAFPH8/aG9VArAdxsk/s72-c/89a90f24db76215e88c7ed88c120e6db.jpg)
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli amesafiri akitokea Mkoani Dodoma anakohudhuria Vikao vya Bunge la Katiba na kwenda moja kwa moja Morogoro maeneo ya Mikese (Kilomita kumi kutoka Mzani wa Mikese kuelekea Dar), ambapo magari mawili yaligongana na kuteketea kwa moto na kusababisha kifo cha mtu mmoja alietambulika kwa jina la Moud Amin.
Ajali hiyo ambayo imetokea mapema leo ilifunga barabara yote ya Dar - Morogoro, takribani kwa masaa zaidi ya mawili na kusababisha foleni kubwa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-icyyVhUNGRo/Xm-wUP2y8UI/AAAAAAALj80/H5piA3fHWjEc8JMKtaIM71_TaoL4N9HhACLcBGAsYHQ/s72-c/d1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA DARAJA LA KIEGEYA LILILOSOMBWA NA MAJI NA KUKATA MAWASILIANO BARABARA YA DODOMA-MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-icyyVhUNGRo/Xm-wUP2y8UI/AAAAAAALj80/H5piA3fHWjEc8JMKtaIM71_TaoL4N9HhACLcBGAsYHQ/s1600/d1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xds39QOBh28/Xm-wWNr9rPI/AAAAAAALj88/Z07ktgvety8Qq1EVR0lF5aikmRFlMvObACLcBGAsYHQ/s1600/d2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s72-c/unnamed+(12).jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPUEFkeLFUM/UwnODUYUrgI/AAAAAAAFO_w/z1skdnl_4Hg/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7ENufK_Znbc/UwnODm3WRsI/AAAAAAAFO_4/cQKAhtjRcWw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YjmKlrMa2QI/UwnODnBCPzI/AAAAAAAFO_0/JJWrh-qZ394/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVwC4cHKNO4/UwnOEBqTe1I/AAAAAAAFPAI/jIqRq_rRzPI/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
GPL9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NKG6xhPuL6U/VezBQZr4gAI/AAAAAAAH2wQ/MgQQS9b_0as/s72-c/m10.jpg)
JK NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAUTEKA MJI WA MOROGORO KWA MKUTANO WA KIHISTORIA WA KAMPENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NKG6xhPuL6U/VezBQZr4gAI/AAAAAAAH2wQ/MgQQS9b_0as/s640/m10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5roUNGwxk2g/VezBQoeRcAI/AAAAAAAH2wU/jdg6jOyRH5Q/s640/m11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-067SNcZo8xY/VezBQMeFdGI/AAAAAAAH2wY/vgJxLzlbEJM/s640/m1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3PdmSE80Aj8/VQ1ToKcnMTI/AAAAAAAHL4U/yuHPDnEjACc/s72-c/unnamed.jpg)
nyumba, magari mawili yateketezwa kwa moto katika vurugu eneo la Olasiti jijini Arusha leo
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDCRRixujJY/VGhk9zmlUXI/AAAAAAAAvsY/9rDoqXLpllo/s640/jones_1.jpg)
11 years ago
Michuzi17 Mar
YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO
![Image](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/pcpgK4AGpnUNIAYbEMApuErJlSgcky6lP6mm2bjgYKPGXrV2MWKOgSKgi7j83RzULELOcBvtFd5B0DoULC__UUL9Yza0eElCioIk_iqJEwgXD36OVGpp=s0-d-e1-ft#http://larrybway91.files.wordpress.com/2014/03/yanga11.jpeg?w=441)
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa wa Mtibwa katika dimba la Jamhuri mjini Morogoro na matokeo kuwa suluhu ya 0-0.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KS7JQ5bf65o/VbIVieyz2TI/AAAAAAAHrcw/OY15_RcpiD8/s72-c/_MG_9811.jpg)
DK. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA YA KUJITAMBULISHA KWA WANANCHI, LEO YUPO MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KS7JQ5bf65o/VbIVieyz2TI/AAAAAAAHrcw/OY15_RcpiD8/s640/_MG_9811.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xiB6oToG5tk/VbIVUKOFjqI/AAAAAAAHrcI/cb6VfnENrmU/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C1gVKwkr4B4/VbIWuNqPLTI/AAAAAAAHrd8/FejINSz5N_A/s640/_MG_0167.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4XksfuG8SX0/VadoMs9eelI/AAAAAAAC8k8/87ijJzZCKlc/s72-c/AroQX5lGsqm9buGIG0l-Li-ISABckNEbfAE3mEsdbt8l.jpg)
Dkt. Magufuli na Mh. Suluhu wapokelewa kwa shangwe Zanzibar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-4XksfuG8SX0/VadoMs9eelI/AAAAAAAC8k8/87ijJzZCKlc/s640/AroQX5lGsqm9buGIG0l-Li-ISABckNEbfAE3mEsdbt8l.jpg)
PICHA ZAIDI ZITAWAJIA HIVI PUNDE.